Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,865
- 3,798
Pamoja na tumbua tumbua isiyoisha bado kuna Mabaharia wasioogopa chochote na wanaendelea kupiga mpunga km kawaaaa. Hebu tubainishe hapa idara na vitengo vya kisekta ambavyo ni sugu kwa rushwa yaani hawasikii,hawaelewi wala kuogopa mkwala wa namba moja.