MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,472
- 8,692
Wakuu wakati wa mwenda zake maduka yalifikia hatua za kukulazimisha kabisa kuchukua receipt ya electronic.
Baada ya Mwenda zake kuondoka maduka karibia yote yalikoma kutoa labda baadhi ya maduka tu.
Sasa nashangaa hata Petro station nazo zimeanza kuto kutoa receipt.
Hahaa kitu Mama asicho kijua watanzania kulipa kodi kwa hiari sio utamaduni wao na ni kitu kisicho wezekana.
Kama sasa tu hata receipt hazitolewi tena huo ulipaji kwa hiari utatoka wapi?
Baada ya Mwenda zake kuondoka maduka karibia yote yalikoma kutoa labda baadhi ya maduka tu.
Sasa nashangaa hata Petro station nazo zimeanza kuto kutoa receipt.
Hahaa kitu Mama asicho kijua watanzania kulipa kodi kwa hiari sio utamaduni wao na ni kitu kisicho wezekana.
Kama sasa tu hata receipt hazitolewi tena huo ulipaji kwa hiari utatoka wapi?