Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,431
- 1,045
Muda huu unaopita, jk anamalizia kutangaza Baraza la Mawaziri. Mpaka dakika hizi za nyongeza, jina la EL bado halijatokea. Na kwa kuangalia tu kwamba Wizara zinanazoendana na HARAKATI zake zimekwisha tajwa zoote. Sitarajii jina lake liitwe kwenye nafasi zilizobaki. Napata HISIA labda EL anausubiria Ukatibu Mkuu wa ccm?! Kiti ambacho awali kilionekana kumsubiri Kinana hapo 2012
Ni HISIA tu, niongozeni kwenye YAFUATAYO
Ni HISIA tu, niongozeni kwenye YAFUATAYO