Ni heri ya Wakurugenzi kuliko Ma DC na Ma RC.

Civilian Coin

JF-Expert Member
Dec 2, 2012
2,305
4,334
NI HERI WAKURUGENZI KULIKO MAZINGAOMBWE YA Ma DC na Ma RC.

Sioni haja ya kuwa na Wakuu WA Wilaya na Wakuu WA Mikoa, kama mambo yenyewe ndo haya, eti Mara huyu kajitwisha li ndoo kichwani, Mara huyu kabeba jiwe kichwani, Mara huyu kabeba tofali n.k. Hivi mnafikiri wananchi ni wajinga?

Hata mtoto WA Darasa la 5 anaweza kuwashangaa, mnafikiri kufanya hivyo ndo mnaonekana mnafanya kazi? Mnapoteza muda wenu bure. Mambo hayo alifanya Kinana kwakuwa alikuwa upande WA chama na hizo tunaita propaganda za kiushawishi kisiasa.

Ninyi mnafanya Siasa kwenye mambo mhimu, na wala Hamna chochote cha maana mnachofanya, zaidi ya bomoa bomoa, fungulia watu kesi, futia hati mashamba, karipia watumishi, OK. Huenda ndio mfumo wenu mpya WA miujiza kutoka kuzimu.

Wakurugenzi wanafanya kazi zinaonekana, sema tu wao hawana promo na mbwembwe kama zenu za kujitafutia umaarufu.

Mambo mengine tuna lazimisha tu, yaani sisi tuna waangalia tu kwa kuwa mmepewa dhamana, lakini kiuhalisia mnafanya ndivyo sivyo, mpaka Rais anaamua kuingilia kati kila jambo mnalofanya kama lile la bomoa bomoa.

Basi nyinyi mnalingia Polisi na hao wakurugenzi walingie nini? Mgambo au? Maana mmekuwa na vitisho kweli kweli kwa watendaji wenu. Sisi tuna wacheck tu mbwembwe zenu.

Lakini ninyi nasikia ni Wasomi na mmepewa dhamana kama wasomi, kumbe Tabia za wasomi ndio hizo, Rudi Rais Nyerere, Rudi Rais Mwinyi na Rais Mkapa rudi mtuoneshe utofauti WA Msomi WA Darasani na Msomi WA kujitambua kupitia elimu ya uraia.

Mimi naona kama mnaichonganisha SERIKALI yenu na wananchi bila kujijua. Je, mnataka kujenga Nchi au kubomoa Nchi. Maana ili tujue kama kiongozi amefanikiwa tunaangalia mambo mawili 1. Uthamani kwa wilaya yake au MKOA wake kwa watu wake 2. Uzalendo kwa watu wake. Yaani kwa hizo sifa mbili
Sijui wenzetu mko wapi?, Ndio maana hata wapinzani wanapata nguvu pamoja na kubana mikutano.

Tatizo mnafanya kazi ili Rais awaone mnafanya kazi, sidhani kama Rais anahitaji kuwaona, zaidi kiongozi unatakiwa kuwajibika kikazi kwa kujua jukumu lako ni nini?

Eendeleeni kunichongea, Mimi na wapa ukweli tu hata mkinichukia na kunibambika kesi. Mnawekea vikwazo MTU anayejitambua mtauumbuka ninyi. Maana Kusema uongo ni rahisi
Kuufunika uongo ni gharama

Deogratius Kisandu.
28 Desemba 2016.
 
Mkuu wa wilaya ana VXV8 ya milioni 300,lakini hana hela ya mafuta,wala service,mafuta anaomba kwa mkurugenzi,muda wa service ukifika hana hela ya kupeleka Toyota garage,anaamua kutumia gari la afisa utumishi
 
NI HERI WAKURUGENZI KULIKO MAZINGAOMBWE YA Ma DC na Ma RC.

Sioni haja ya kuwa na Wakuu WA Wilaya na Wakuu WA Mikoa, kama mambo yenyewe ndo haya, eti Mara huyu kajitwisha li ndoo kichwani, Mara huyu kabeba jiwe kichwani, Mara huyu kabeba tofali n.k. Hivi mnafikiri wananchi ni wajinga?

Hata mtoto WA Darasa la 5 anaweza kuwashangaa, mnafikiri kufanya hivyo ndo mnaonekana mnafanya kazi? Mnapoteza muda wenu bure. Mambo hayo alifanya Kinana kwakuwa alikuwa upande WA chama na hizo tunaita propaganda za kiushawishi kisiasa.

Ninyi mnafanya Siasa kwenye mambo mhimu, na wala Hamna chochote cha maana mnachofanya, zaidi ya bomoa bomoa, fungulia watu kesi, futia hati mashamba, karipia watumishi, OK. Huenda ndio mfumo wenu mpya WA miujiza kutoka kuzimu.

Wakurugenzi wanafanya kazi zinaonekana, sema tu wao hawana promo na mbwembwe kama zenu za kujitafutia umaarufu.

Mambo mengine tuna lazimisha tu, yaani sisi tuna waangalia tu kwa kuwa mmepewa dhamana, lakini kiuhalisia mnafanya ndivyo sivyo, mpaka Rais anaamua kuingilia kati kila jambo mnalofanya kama lile la bomoa bomoa.

Basi nyinyi mnalingia Polisi na hao wakurugenzi walingie nini? Mgambo au? Maana mmekuwa na vitisho kweli kweli kwa watendaji wenu. Sisi tuna wacheck tu mbwembwe zenu.

Lakini ninyi nasikia ni Wasomi na mmepewa dhamana kama wasomi, kumbe Tabia za wasomi ndio hizo, Rudi Rais Nyerere, Rudi Rais Mwinyi na Rais Mkapa rudi mtuoneshe utofauti WA Msomi WA Darasani na Msomi WA kujitambua kupitia elimu ya uraia.

Mimi naona kama mnaichonganisha SERIKALI yenu na wananchi bila kujijua. Je, mnataka kujenga Nchi au kubomoa Nchi. Maana ili tujue kama kiongozi amefanikiwa tunaangalia mambo mawili 1. Uthamani kwa wilaya yake au MKOA wake kwa watu wake 2. Uzalendo kwa watu wake. Yaani kwa hizo sifa mbili
Sijui wenzetu mko wapi?, Ndio maana hata wapinzani wanapata nguvu pamoja na kubana mikutano.

Tatizo mnafanya kazi ili Rais awaone mnafanya kazi, sidhani kama Rais anahitaji kuwaona, zaidi kiongozi unatakiwa kuwajibika kikazi kwa kujua jukumu lako ni nini?

Eendeleeni kunichongea, Mimi na wapa ukweli tu hata mkinichukia na kunibambika kesi. Mnawekea vikwazo MTU anayejitambua mtauumbuka ninyi. Maana Kusema uongo ni rahisi
Kuufunika uongo ni gharama

Deogratius Kisandu.
28 Desemba 2016.
Leo Deo kweli umeongea point tupu kaza buti, ila naomba kujua hao DC na RC wanakuchongea kwa nani?
 
Deogratius Kisandu unasikitisha sana kwa jinsi unavyotokwa na povu jingi ukipoteza mda mwingi kuwalalamikia ma DC na RC. Viongozi hawa wanachapa kazi kubwa sana , nakushiriki kazi za ujenzi wa Taifa kwa vitendo ni muhimu sana kwa kiongozi yeyote wa Serikali ili kuwatia moyo Wananchi. Kinachoonekana kwako ni kwa sababu wewe Ni Li-Chadema, umejaa mawazo ya Kifisadi kama Li Lowasa lako, kila kitu kinachofanywa na Serikali wewe ni nikupinga tu, Kinachofanywa na Li-Chadema lako chote ni kizuri hata kama hakina tija kwa Watanzania, Mfano Chadema wamekuwa wakianzisha Operations za uongo na kweli ili kuhalalalisha matumizi ya Luzuku, kama vile operation Sangara, M4C, Delete ccm, UKAWA, Ukuta , na sasa Kata funua, na wanakoelekea kutakuwa na Kata "K". Haya yote hayajawahi kuleta tija kwa Watanzania sana sana yamesababisha ulemavu na mauti kutokana na vurugu za uvunjifu wa amani. Hivyo wewe ni Lichadema tu huna lolote. Mbowe alifuta kipengele katika katiba ya Chadema kinachomtaka m/kiti kugombea vipindi viwili tu na kutoingilia tena. Lakini hadi sasa mbowe bila aibu alikiondoa nakumruhusu kuongoza milele dahali.
 
Kama hukuGeita mkuu wa wilaya yeye kazi yake ni kushirikiana na wanachama wa ccm kuwavua uenyekiti wa mitaa kupitia chadema,ndio kazi anayofanya hapa Geita mjini hana kaz nyingine
 
Kama hukuGeita mkuu wa wilaya yeye kazi yake ni kushirikiana na wanachama wa ccm kuwavua uenyekiti wa mitaa kupitia chadema,ndio kazi anayofanya hapa Geita mjini hana kaz nyingine
Deogratius Kisandu unasikitisha sana kwa jinsi unavyotokwa na povu jingi ukipoteza mda mwingi kuwalalamikia ma DC na RC. Viongozi hawa wanachapa kazi kubwa sana , nakushiriki kazi za ujenzi wa Taifa kwa vitendo ni muhimu sana kwa kiongozi yeyote wa Serikali ili kuwatia moyo Wananchi. Kinachoonekana kwako ni kwa sababu wewe Ni Li-Chadema, umejaa mawazo ya Kifisadi kama Li Lowasa lako, kila kitu kinachofanywa na Serikali wewe ni nikupinga tu, Kinachofanywa na Li-Chadema lako chote ni kizuri hata kama hakina tija kwa Watanzania, Mfano Chadema wamekuwa wakianzisha Operations za uongo na kweli ili kuhalalalisha matumizi ya Luzuku, kama vile operation Sangara, M4C, Delete ccm, UKAWA, Ukuta , na sasa Kata funua, na wanakoelekea kutakuwa na Kata "K". Haya yote hayajawahi kuleta tija kwa Watanzania sana sana yamesababisha ulemavu na mauti kutokana na vurugu za uvunjifu wa amani. Hivyo wewe ni Lichadema tu huna lolote. Mbowe alifuta kipengele katika katiba ya Chadema kinachomtaka m/kiti kugombea vipindi viwili tu na kutoingilia tena. Lakini hadi sasa mbowe bila aibu alikiondoa nakumruhusu kuongoza milele dahali.
hao wanaowasababishia ulemavu na kuwaua ni watu gani ?
 
Ongata, hebu fikiria kidogo, Hapo Geita tulisikia kuna Wenyeviti kupitia Chadema wamefikia hatua yakufanya fujo nakung'ang'ania kwenye pango baada ya kufukuzwa, pia kununua mafuta ya petrol litre 5 nakutaka kuchoma jengo la ofisi ilipokuwa chadema na nijengo la kanisa hadi Mkuu wa Wilaya kusimamia kuwaondoa kwenye jengo hilo, hapo ndipo Mkuu wa wilaya anaonekana eti hana kazi, Pia m/kiti Mafie alikataliwa na Wananchi tena mkutano wa hadhara, DC alitimiza wajibu wake kwa kusimamia amani baada ya huyo m/kiti kuwa anatembea na mihuri. Hilo lichadema la ovyo kabisa , nasikia huko Geita hawalitaki kabisa.
 
Deogratius Kisandu unasikitisha sana kwa jinsi unavyotokwa na povu jingi ukipoteza mda mwingi kuwalalamikia ma DC na RC. Viongozi hawa wanachapa kazi kubwa sana , nakushiriki kazi za ujenzi wa Taifa kwa vitendo ni muhimu sana kwa kiongozi yeyote wa Serikali ili kuwatia moyo Wananchi. Kinachoonekana kwako ni kwa sababu wewe Ni Li-Chadema, umejaa mawazo ya Kifisadi kama Li Lowasa lako, kila kitu kinachofanywa na Serikali wewe ni nikupinga tu, Kinachofanywa na Li-Chadema lako chote ni kizuri hata kama hakina tija kwa Watanzania, Mfano Chadema wamekuwa wakianzisha Operations za uongo na kweli ili kuhalalalisha matumizi ya Luzuku, kama vile operation Sangara, M4C, Delete ccm, UKAWA, Ukuta , na sasa Kata funua, na wanakoelekea kutakuwa na Kata "K". Haya yote hayajawahi kuleta tija kwa Watanzania sana sana yamesababisha ulemavu na mauti kutokana na vurugu za uvunjifu wa amani. Hivyo wewe ni Lichadema tu huna lolote. Mbowe alifuta kipengele katika katiba ya Chadema kinachomtaka m/kiti kugombea vipindi viwili tu na kutoingilia tena. Lakini hadi sasa mbowe bila aibu alikiondoa nakumruhusu kuongoza milele dahali.
KADA MWENZANGU KISANDU ANA HOJA HAPO..ACHA KUROPOKA SOMA VYEMA UTAELEWA. Read between lines you will come up with a good point then discuss or contribute..do not divert a tabled concept/issue.
 
Back
Top Bottom