Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Japo ulikuwa una mapungufu yake lakini ni heri ukawa wa CUF na CHADEMA waliungana pamoja wakashirikiana katika kuwanadi wagombea wa Udiwani, Ubunge na Uraisi na kutoa elimu kwa wapiga kura lakini pia baadhi ya majimbo na kata walikubaliana kujitoa ili nani apiteee
Ila huu ukawa wa muungano wa ACT-Wazalendo na CHADEMA ni magumashi kila chama kimesimamisha mgombea wake kinapiga kampeni kivyake juzi juzi lissu wakati akiwa kigoma na tabora alipatq kigugumizi ni mgombea wa chama gani augwe mkono
Ila huu ukawa wa muungano wa ACT-Wazalendo na CHADEMA ni magumashi kila chama kimesimamisha mgombea wake kinapiga kampeni kivyake juzi juzi lissu wakati akiwa kigoma na tabora alipatq kigugumizi ni mgombea wa chama gani augwe mkono