themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 947
- 3,224
Nimeona niiweke hii mada sababu nimekuwa nikiishi na rafiki yangu mmoja nimetoka nae sekondary baada ya kumaliza chuo tukapanga chumba kimoja na kila mtu akapata kazi, sasa baada ya mda jamaa akampata mwanamke wake akaenda kupanga nae chumba wakawa wanaishi wote yeye na dem wake
So kila mtu akawa na maisha yake, mimi nikaendelea kukaa kwenye kile chumba, sasa jamaa ikafika mda akaharibu kwa mpenzi wake sababu ya umalaya hivyo akamkimbia kwa kisingizio cha kukaa karibu na kazini ili asipate tabu ya usafiri, jamaa akarudi hapa geto ni mwaka sasa hachangii kodi na kazi anafanya, akipata hela ni bata, uamalaya na kumuangalia mwanamke wake tu, huku kodi ya chumba hapa nikipigika mwenyewe
Mara nyingine huwa anafungua begi langu anafika hadi sehem nmayoweka akiba yangu na kuchukua pesa zangu bila kuniomba kwa madai kuwa benki mbali, hadi naona hali ya hatari mbeleni maana sim banking ipo, na ukimwambia ukweli anakuwa mkali
Sasa kinachonikera zaidi bado hata hichi chumba nilichomuhifadhi analeta malaya kila kukicha hadi nakereka, na kumfukuza nashindwa sababu nimetoka nae mbali
Ushauri wenu jinsi ya kumkimbia kistaharabu...
So kila mtu akawa na maisha yake, mimi nikaendelea kukaa kwenye kile chumba, sasa jamaa ikafika mda akaharibu kwa mpenzi wake sababu ya umalaya hivyo akamkimbia kwa kisingizio cha kukaa karibu na kazini ili asipate tabu ya usafiri, jamaa akarudi hapa geto ni mwaka sasa hachangii kodi na kazi anafanya, akipata hela ni bata, uamalaya na kumuangalia mwanamke wake tu, huku kodi ya chumba hapa nikipigika mwenyewe
Mara nyingine huwa anafungua begi langu anafika hadi sehem nmayoweka akiba yangu na kuchukua pesa zangu bila kuniomba kwa madai kuwa benki mbali, hadi naona hali ya hatari mbeleni maana sim banking ipo, na ukimwambia ukweli anakuwa mkali
Sasa kinachonikera zaidi bado hata hichi chumba nilichomuhifadhi analeta malaya kila kukicha hadi nakereka, na kumfukuza nashindwa sababu nimetoka nae mbali
Ushauri wenu jinsi ya kumkimbia kistaharabu...