Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 7,621
- 16,372
What a tea!
Kwaiyo wanaume wa vijijini hawana tabia za kuwatia mimba wanawake na kuwaacha?kaaa kwa kutulia ni kweli alichoongea hapa mwishoni kua mnaboa....hv unamtia mimba mimba mwanamke unamuacha unajua changamoto anazopitia? tena wanaume wengi wa mijini ndio tabia zenu hizi za kipuuzi
Hivi mwanaume mwenye watoto ana uhalali wa kuoa mwanamke asiye na mtoto/watoto?Kuwa Single mama ni kama laana ktk Ulimwengu wa mapenzi
Mwanaume mwenye mtoto ni vizuri akioa mwanamke mwenye mtoto au hata watoto, hiyo ni fact.Hivi mwanaume mwenye watoto ana uhalali wa kuoa mwanamke asiye na mtoto/watoto?
Ndiyo. Mwanaume mwenye watoto ana uhalali mkubwa (100%} kuoa mwanamke asiyekuwa na watoto kwasabb mwanaume ndiye mtafuta riziki, msomeshaji na anahangaikia afya ya familia.Hivi mwanaume mwenye watoto ana uhalali wa kuoa mwanamke asiye na mtoto/watoto?
Aseme ana watoto marehemu (abortion) kibao.
Utakuwa una marehemuh kadhaa wewe. Mbona povu?Your lost
Wao wanataka utelezi tu awaangalii, awachagui, awabaguiJaman.....lakini wanaume wa JF sijawahi elewa mnataka nini hasa.
Povu hili vipi.... Bundle lake, muda kapoteza yeye, Ukiona uzi haukufai au si hadhi yako pita kimyakimya.... Usimdhalau mtu au kukujekeli au kumkebeiKwa nini hukwenda kucomment kwenye thread za single mother mbona ziko nyingi sana humu?
Kwa nini mnatujazia uchafu kila siku mpaka tunalidharau hili jukwaa?
Single mothers nawaibia siri nyingine
Baada ya akili, mwili na roho kujikusanya, wanaume wengi tumekubaliana bila kutokukubaliana kuwa single mothers wengi wanapendwa na kuhitajiwa zaid kuliko mabinti. nitatumia neno "walio wengi nikiamini kinyume na mimi hawakosag. Sababu za wazi baadhi ni : 1. Single mothers wengi wamefikia...www.jamiiforums.com
Single mothers nawaibia siri nyingine
Baada ya akili, mwili na roho kujikusanya, wanaume wengi tumekubaliana bila kutokukubaliana kuwa single mothers wengi wanapendwa na kuhitajiwa zaid kuliko mabinti. nitatumia neno "walio wengi nikiamini kinyume na mimi hawakosag. Sababu za wazi baadhi ni : 1. Single mothers wengi wamefikia...www.jamiiforums.com
Single mothers nawaibia siri nyingine
Baada ya akili, mwili na roho kujikusanya, wanaume wengi tumekubaliana bila kutokukubaliana kuwa single mothers wengi wanapendwa na kuhitajiwa zaid kuliko mabinti. nitatumia neno "walio wengi nikiamini kinyume na mimi hawakosag. Sababu za wazi baadhi ni : 1. Single mothers wengi wamefikia...www.jamiiforums.com
Single mothers nawaibia siri nyingine
Baada ya akili, mwili na roho kujikusanya, wanaume wengi tumekubaliana bila kutokukubaliana kuwa single mothers wengi wanapendwa na kuhitajiwa zaid kuliko mabinti. nitatumia neno "walio wengi nikiamini kinyume na mimi hawakosag. Sababu za wazi baadhi ni : 1. Single mothers wengi wamefikia...www.jamiiforums.com
Single mothers nawaibia siri nyingine
Baada ya akili, mwili na roho kujikusanya, wanaume wengi tumekubaliana bila kutokukubaliana kuwa single mothers wengi wanapendwa na kuhitajiwa zaid kuliko mabinti. nitatumia neno "walio wengi nikiamini kinyume na mimi hawakosag. Sababu za wazi baadhi ni : 1. Single mothers wengi wamefikia...www.jamiiforums.com
Give us a break please.
Hivi Moderator wa hili jukwaa siku hizi ni nani atusafishie uchafu?
Tunashindwa kuja jukwaa hili siku hizi mmeliacha liwe jukwaa la watoto wanaosumbuliwa na balehe.
Swali zuri.Hivi mwanaume mwenye watoto ana uhalali wa kuoa mwanamke asiye na mtoto/watoto?
Swali zuri.
Ajabu sasa hata masingo faza hawataki kuoa singo maza. Maajabu ya karne dadeki!
Umesahau kuwa Kuna wanaoolewa kama fasheni tu ili na yeye waseme aliolewa.
Kuna member hapo juu amenijibu kuwa ni sahihi kwakuwa mwanaume ndiye mtafutaji, amesahau kuwa huko anakoenda kutafuta anawazagamua wasichana bila hata kutumia kinga,matokeo yake anaongeza singo maza wengine.
Laiti kama wanaume tungetulia, tukaacha tamaa ya kuchungulia tuliko toka bila kipimo, hao masingo maza wangekuwa ni wale wajane tu.
Singo faza aoe singo maza,vijana wa kudeka wafuate visichana vyenzao vichunaji ili wapate raha kamili