johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,902
- 141,842
Chadema mwaka 2010 walimpokea John Shibuda aliyetimuliwa CCM baada ya kwenda kinyume na tamaduni za uchaguzi chamani.
Shibuda alipewa fursa ya kugombea ubunge huko Shinyanga na kufanikiwa kushinda baada ya changamoto nyingi zilizosababishwa na mshindani wake kutoka CCM ndugu Kisena.
Ni katika kukumbushana tu maana wengine ni wasahaulifu.
Maendeleio hayana vyama!
Shibuda alipewa fursa ya kugombea ubunge huko Shinyanga na kufanikiwa kushinda baada ya changamoto nyingi zilizosababishwa na mshindani wake kutoka CCM ndugu Kisena.
Ni katika kukumbushana tu maana wengine ni wasahaulifu.
Maendeleio hayana vyama!