prof Mose
Member
- May 10, 2019
- 37
- 28
Habari wakuu!
Nina mdogo wangu alihitimu form four mwaka 2017 lakini kwa bahati mbaya kutokana na ubabaishaji wa shule aliyokuwa anasoma(shule ya private) uongozi wa shule haukulipia ada ya mtihani ya wanafunzi hali iliyopelekea matokeo yao kufungiwa.
Naomba mnisaidie procedures za kufuata ili dogo apate matokeo yake na alikuwa bright sana.
Nina mdogo wangu alihitimu form four mwaka 2017 lakini kwa bahati mbaya kutokana na ubabaishaji wa shule aliyokuwa anasoma(shule ya private) uongozi wa shule haukulipia ada ya mtihani ya wanafunzi hali iliyopelekea matokeo yao kufungiwa.
Naomba mnisaidie procedures za kufuata ili dogo apate matokeo yake na alikuwa bright sana.