Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
1. Anzisha mahusiano mapya kimya kimya ili uweze balance hisia na moyo wako kujiweka sawa na mwingine.
2. Punguza mawasialiano ili kutengeneza mazingira ya kuanza kuzoea bila yeye unaweza.
3. Anza kuzungumza na watu wako wa karibu kuhusu Hali ya uhusiano wako ulivyofikia hatua mbaya.
4. Anza kufanya maombi au anza kushiriki kwenda kwenye maombi katika nyumba za Ibada hii itakusaidia kukupa Amani ya moyoni.
5. Anza kujianda kisaikolojia huyo sio wangu tena kapata mwingine hivyo Urusu moyo wako aende huko aendako.
6. Anza kujiona wewe ni wa Thamani na huyo mtu akiondoka atajutaaa.
Haya endeleeni na mengine
2. Punguza mawasialiano ili kutengeneza mazingira ya kuanza kuzoea bila yeye unaweza.
3. Anza kuzungumza na watu wako wa karibu kuhusu Hali ya uhusiano wako ulivyofikia hatua mbaya.
4. Anza kufanya maombi au anza kushiriki kwenda kwenye maombi katika nyumba za Ibada hii itakusaidia kukupa Amani ya moyoni.
5. Anza kujianda kisaikolojia huyo sio wangu tena kapata mwingine hivyo Urusu moyo wako aende huko aendako.
6. Anza kujiona wewe ni wa Thamani na huyo mtu akiondoka atajutaaa.
Haya endeleeni na mengine