LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,167
Wakuu kumekuwa na mtimdo sasa hivi wa kupimp gari na kufunga taaa taa nyingi sana za urembo kwenye gari..ikiwa pamoja na kutoa taa kubwa original za kuja na gari na kufunga zingine ili gari iwe na mwanga mkali zaidi..wengine hufunga taa za boostar ni hatari sana usifanye hivyo kwenye gari zenu wengi wao zinaishia kuwaka moto..
Naongea hivi nikiwa na ushahidi wakushuhudia kuona na nazungumza kwa ushahidi au vigezo vya kitaalam.
Sina nia ya kuharibu bishara ya wanao fanya shughuli hizo hapana lkn hapa tunaambiana ukweli na kutaadharishana..
Hatari ipo hapa ..wengi wana funga taa za booster unakuta mtu gari yake ilikuwa na taa kubwa high 60W na beam 55W.
Anakwenda kubadilisha taa na kufunga bulb za mchina zenye 900W beam na 1000W high.
Waya ule ule uliokuwa unapitisha umeme kwenda kwenye bulb ya 55W leo hii unapitisha current kwenda kwenye bulb ya 900W unategemea nn hapo?? Kama sio gari kuwaka moto??..
Wengine wanatoa bulb za kawaida na kufunga bulb za booster ukifika kwenye taa ambayo imefungwa bulb ya booster ikiwa imewaka shika au sogea karibu na kioo cha taa huwa kinakuwa cha moto sana..sasa kuna utofauti wa quality ya kioo cha taa ya kawaida na ya booster..na taa ya booster inaproduce joto kali sana ambalo kutokana na taa yenyewe haikuwa mahususi kwa bulb hiyo huishia kuungua na kuunguza gari.
Janga jingine ni ukaaji wa hizo bulb za modification kwenye majumba ya taa kwa kuwa sio original yake so mafundi huwa wanaforce na kinachotokea nikuunguza jumba la taa na mwishowe gari nzima..
Kuna ishu pia ya bulb na booster za kichina nyingi ni low quality kabisaa na low price.huwa vicontrol vya booster vinaungua sababu waya zinazotumika huwa zinakuwa ni zile za low quality kabisaa ukilinganisha na mzigo zinaobeba..
Kama kuna wataalam au wenye uelewa kidogo tuu na umeme wananielewa vizuri zaidi.
POWER. P
VOLTAGE. V
CURRENT. I
RESISTOR. R
Hasa hapo kunakitu kinaitwa factor afecting resistor..
Mfano:
Umefunga bulb ya 900w lkn waya ambao unapitisha umeme mwanzo ulikuwa unapitisha umeme wa kwenda kuwasha /tumika kwenye bulb ya 55W.
Ili bulb ya 900W iweze kuwaka inahitaji current nyingi sana zipite kinachotokea wakati current zinaforce kupita kwenye waya ndio hapo waya unapata moto na kuungua na kuunguza gari..
Nimekutana na kesi nyingi sana za namna hiyo.ndio maana nikaona sio mbaya nikashare hapo..
Naongea hivi nikiwa na ushahidi wakushuhudia kuona na nazungumza kwa ushahidi au vigezo vya kitaalam.
Sina nia ya kuharibu bishara ya wanao fanya shughuli hizo hapana lkn hapa tunaambiana ukweli na kutaadharishana..
Hatari ipo hapa ..wengi wana funga taa za booster unakuta mtu gari yake ilikuwa na taa kubwa high 60W na beam 55W.
Anakwenda kubadilisha taa na kufunga bulb za mchina zenye 900W beam na 1000W high.
Waya ule ule uliokuwa unapitisha umeme kwenda kwenye bulb ya 55W leo hii unapitisha current kwenda kwenye bulb ya 900W unategemea nn hapo?? Kama sio gari kuwaka moto??..
Wengine wanatoa bulb za kawaida na kufunga bulb za booster ukifika kwenye taa ambayo imefungwa bulb ya booster ikiwa imewaka shika au sogea karibu na kioo cha taa huwa kinakuwa cha moto sana..sasa kuna utofauti wa quality ya kioo cha taa ya kawaida na ya booster..na taa ya booster inaproduce joto kali sana ambalo kutokana na taa yenyewe haikuwa mahususi kwa bulb hiyo huishia kuungua na kuunguza gari.
Janga jingine ni ukaaji wa hizo bulb za modification kwenye majumba ya taa kwa kuwa sio original yake so mafundi huwa wanaforce na kinachotokea nikuunguza jumba la taa na mwishowe gari nzima..
Kuna ishu pia ya bulb na booster za kichina nyingi ni low quality kabisaa na low price.huwa vicontrol vya booster vinaungua sababu waya zinazotumika huwa zinakuwa ni zile za low quality kabisaa ukilinganisha na mzigo zinaobeba..
Kama kuna wataalam au wenye uelewa kidogo tuu na umeme wananielewa vizuri zaidi.
POWER. P
VOLTAGE. V
CURRENT. I
RESISTOR. R
Hasa hapo kunakitu kinaitwa factor afecting resistor..
Mfano:
Umefunga bulb ya 900w lkn waya ambao unapitisha umeme mwanzo ulikuwa unapitisha umeme wa kwenda kuwasha /tumika kwenye bulb ya 55W.
Ili bulb ya 900W iweze kuwaka inahitaji current nyingi sana zipite kinachotokea wakati current zinaforce kupita kwenye waya ndio hapo waya unapata moto na kuungua na kuunguza gari..
Nimekutana na kesi nyingi sana za namna hiyo.ndio maana nikaona sio mbaya nikashare hapo..