Ni hatari kwa ustawi wa Nchi yetu kama kuna watu bado wanaendelea na upigaji Ndalichako hebu lianagalie hili

kusimama wakati wa kufundishwa hio kawaida Sana Maana nilisomaga chuo kimoja nusu Semister nilikuwa nasimama Kutokana na idadi ya wanafunzi kuwa wengi
twende kwenye huyo nesi ni kweli Kwenye vyuo kunakuwaga na common diseas yamkini ndo maana mnapewa Dawa moja Kila mkienda ila hilo pia linaweza tokana na ukosefu wa dawa na vifaa vya upimaji
 
haya mambo ukifuatilia sana, yatakuumiza kichwa, kwa maana vyuo vyote vinashida, hata viongozi hawatembelei vyuoni, wakija wanakakutana staff tu, kisha wanaondoka. nikushauri tu, huo ni mfumo wa watu wengi wanakula, so Fanya yako usepe,maana utagusa misosi ya watu, na hawatokuacha salamaaa, watakutengenezea zengwe la kudisko, wakishakujuaa, miaka miwili sio mingi sanaaa, vumiliaa,maana ...........
 
Dah, japo hujapangilia hoja zako lkn hapa makamu na muadili ushawachomesha mahindi. Utawasikia si muda kama ni kweli..
 
Back
Top Bottom