Ni hatari kwa kiongozi wa Umma kutoa matamshi kama haya

Wamshauri aache kutoa matamko ambayo hayaendani na majukumu yake ya msingi, anazidi kuleta mtafaruku. Suala la ulinzi na usalama 0ni la polisi na suala la kampeni ni la vyama vya siasa. Yeye ni msimamizi na mtunza maadili ya kampeni za uchaguzi na utaratibu wa kushughulikia changamoto za kimaadili upo wazi. Hahusiki na kampeni za vyama wala majukumu ya polisi. Iweje atoe kauli km hiyo?

Km anatekeleza maagizo, awe makini na ajitafakari sana na km hayo anayaongea kwa utashi wake, basi ajue huenda yakamgharimu baadae.

Ni bora akatambua kwamba, wadau wa uchaguzi huu wameuelewa msimamo wake na upande anaoupigia chapuo kinyume na maadili yake ya kazi. Kwa bahati mbaya sana, haya anayaongea kwenye press na yanakuwa recorded. Km lolote litatokea likihusishwa na kauli hizi, atakutana na wakati mgumu sana .
Sasa mkurugenziccm wa NECCCM Tumeccm anamwamrisha IGP kuumiza watanzania kwa mabomu? Nchi hii haitaisha vioja, hapo huyo mjinga mahera yupo NECCCM je? angekuwa ni waziri wa mambo ya ndani si angetangaza chadema wauawe wote? Katiba mpya inahitajika haraka
 
Mahera ashitakiwe ICC mapema iwezekanavyo maana asipodhibitiwa mapema atasababisha umwagaji damu mkubwa
Tayari yupo kwenye list, dunia inaona, dunia imechoka gharama za kuhudumia wakimbizi sababu ya vibaraka wachache
 

Attachments

  • Screenshot_20200930_112839.jpg
    Screenshot_20200930_112839.jpg
    89 KB · Views: 1
Sasa mkurugenziccm wa NECCCM Tumeccm anamwamrisha IGP kuumiza watanzania kwa mabomu? Nchi hii haitaisha vioja, hapo huyo mjinga mahera yupo NECCCM je? angekuwa ni waziri wa mambo ya ndani si angetangaza chadema wauawe wote? Katiba mpya inahitajika haraka
Polisi hawana uwezo wa kuwapiga mabomu watz wote waulize Mbeya.
 
Heri kupigwa mabomu kuliko kuteswa tena miaka 5.Hofu Ni kwamba mzee wa visasi atamaliza watu this time
 
Tume inataka kuwachagulia watz wawakilishi wao hii haikubaliki, Hawa vichwa nundu wametumwa kuvuruga amani yetu
 
RPC Nshana alikuwa mnene mwene afya nzuri Sana, lakini leo hatuko nae haya yote ni mapenzi ya mungu, kutokutimiza wajibu wako kwa haki manunguniko ya watu humfikia Mungu.
 
"Tumevumilia sana,na IGP amevumilia sana. Kuanzia sasa mtashangaa watu watapigwa mabomu kule ambako wameambiwa waache kwenda na polisi, nadhani mliona jana wamepigwa mabomu kule Nyamongo’’-Dkt Charles Mahera, Mkurugenzi Mkuu-NEC.

Mahera na Sirro nyie sio wanasiasa mnatakiwa muongozwe na taratibu za taaluma zenu. Matamshi yakitolewa na mtaaluma huchukuliwa kwa uzito zaidi kuliko yakitolewa na mwanasiasa.

Waacheni wanasiasa walumbane wao kwa wao pasipo kuwaingilia na kuwasemea. Siku mambo yakiharibika wanasiasa hao hao mliokuwa mnawasaidia watawaruka.

ICC inamwita , Jiwe ataenda the Hague na kundi kubwa sana la watu .
Kwa hii Statement tu! Inatosha kumfikisha ICC. Na ya kutokea hayo aliyosema kesi ikifika kule ajiandae tu kuwa mfungwa!
Screenshot_20200930-130500.png
 
"Tumevumilia sana,na IGP amevumilia sana. Kuanzia sasa mtashangaa watu watapigwa mabomu kule ambako wameambiwa waache kwenda na polisi, nadhani mliona jana wamepigwa mabomu kule Nyamongo’’-Dkt Charles Mahera, Mkurugenzi Mkuu-NEC.

Mahera na Sirro nyie sio wanasiasa mnatakiwa muongozwe na taratibu za taaluma zenu. Matamshi yakitolewa na mtaaluma huchukuliwa kwa uzito zaidi kuliko yakitolewa na mwanasiasa.

Waacheni wanasiasa walumbane wao kwa wao pasipo kuwaingilia na kuwasemea. Siku mambo yakiharibika wanasiasa hao hao mliokuwa mnawasaidia watawaruka.
Chapa kazi Mkurugenzi. Nchi haiwezi kwenda bila utaratibu. Uchaguzi hauwezi kufanyika bila utaratibu kufuatwa.
 
Kwakweli Lisu amevumiliwa sana sasa inatosha.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
Jeshi Ni Mali ya wananchi linasimama na maamuzi ya wananchi, wanaodhani litawatii kuvunja haki za watz kuwachagulia wa kuwaongozea wakapimwe akili. Uzuri awajawaongezea mishahara 5 yrs hapa patamu Sana.
 
"Tumevumilia sana,na IGP amevumilia sana. Kuanzia sasa mtashangaa watu watapigwa mabomu kule ambako wameambiwa waache kwenda na polisi, nadhani mliona jana wamepigwa mabomu kule Nyamongo’’-Dkt Charles Mahera, Mkurugenzi Mkuu-NEC.

Mahera na Sirro nyie sio wanasiasa mnatakiwa muongozwe na taratibu za taaluma zenu. Matamshi yakitolewa na mtaaluma huchukuliwa kwa uzito zaidi kuliko yakitolewa na mwanasiasa.

Waacheni wanasiasa walumbane wao kwa wao pasipo kuwaingilia na kuwasemea. Siku mambo yakiharibika wanasiasa hao hao mliokuwa mnawasaidia watawaruka.

Hapo ndipo maswali yanaanzia ,anaye toa amri kwa polisi no mkurugenzi?na Kama ni hivyo au la je wawili Hawa walijadiliana na kuafikiana kufanya hivyo,Kama ndivyo .he kulikuwa na ulazima? Na he hii itakuwa kwa pandezote zitakazo enda kinyume na vilewanavyopaswa kufanya?
 
Mkurugenzi wa tume siku hizi ana uwezo wa kuamrisha wananchi wapigwe mabomu?

Mtu yoyote mwenye mamlaka fulani ndani ya nchi hii anaweza agiza baya lolote wafanyiwe wapinzani, maana ndio furaha ya rais. Hivyo yoyote mwenye mamlaka fulani akitoa amri yoyote ovu dhidi ya mpinzani, anakuwa kajiwekea mazingira mazuri katika kibarua chake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom