"Tumevumilia sana,na IGP amevumilia sana. Kuanzia sasa mtashangaa watu watapigwa mabomu kule ambako wameambiwa waache kwenda na polisi, nadhani mliona jana wamepigwa mabomu kule Nyamongo’’-Dkt Charles Mahera, Mkurugenzi Mkuu-NEC.
Mahera na Sirro nyie sio wanasiasa mnatakiwa muongozwe na taratibu za taaluma zenu. Matamshi yakitolewa na mtaaluma huchukuliwa kwa uzito zaidi kuliko yakitolewa na mwanasiasa.
Waacheni wanasiasa walumbane wao kwa wao pasipo kuwaingilia na kuwasemea. Siku mambo yakiharibika wanasiasa hao hao mliokuwa mnawasaidia watawaruka.
Aibu yakoAmesema kweli kabisa
"Tumevumilia sana,na IGP amevumilia sana. Kuanzia sasa mtashangaa watu watapigwa mabomu kule ambako wameambiwa waache kwenda na polisi, nadhani mliona jana wamepigwa mabomu kule Nyamongo’’-Dkt Charles Mahera, Mkurugenzi Mkuu-NEC.
Mahera na Sirro nyie sio wanasiasa mnatakiwa muongozwe na taratibu za taaluma zenu. Matamshi yakitolewa na mtaaluma huchukuliwa kwa uzito zaidi kuliko yakitolewa na mwanasiasa.
Waacheni wanasiasa walumbane wao kwa wao pasipo kuwaingilia na kuwasemea. Siku mambo yakiharibika wanasiasa hao hao mliokuwa mnawasaidia watawaruka.
Ni Tanzania pekeeMkurugenzi wa tume siku hizi ana uwezo wa kuamrisha wananchi wapigwe mabomu?
Wanakuf*ra wewe sio bure!Amesema kweli kabisa
Kula like mkuu.Huyu ni mpumbavu yani wamebanwa had refa anaamua kukaba aibu kabisa na likichwa lake kma bamia
"Tumevumilia sana,na IGP amevumilia sana. Kuanzia sasa mtashangaa watu watapigwa mabomu kule ambako wameambiwa waache kwenda na polisi, nadhani mliona jana wamepigwa mabomu kule Nyamongo’’-Dkt Charles Mahera, Mkurugenzi Mkuu-NEC.
Mahera na Sirro nyie sio wanasiasa mnatakiwa muongozwe na taratibu za taaluma zenu. Matamshi yakitolewa na mtaaluma huchukuliwa kwa uzito zaidi kuliko yakitolewa na mwanasiasa.
Waacheni wanasiasa walumbane wao kwa wao pasipo kuwaingilia na kuwasemea. Siku mambo yakiharibika wanasiasa hao hao mliokuwa mnawasaidia watawaruka.
"Tumevumilia sana,na IGP amevumilia sana. Kuanzia sasa mtashangaa watu watapigwa mabomu kule ambako wameambiwa waache kwenda na polisi, nadhani mliona jana wamepigwa mabomu kule Nyamongo’’-Dkt Charles Mahera, Mkurugenzi Mkuu-NEC.
Mahera na Sirro nyie sio wanasiasa mnatakiwa muongozwe na taratibu za taaluma zenu. Matamshi yakitolewa na mtaaluma huchukuliwa kwa uzito zaidi kuliko yakitolewa na mwanasiasa.
Waacheni wanasiasa walumbane wao kwa wao pasipo kuwaingilia na kuwasemea. Siku mambo yakiharibika wanasiasa hao hao mliokuwa mnawasaidia watawaruka.
Huyo mkurugenziccm wa Tumeccm ni mvuta BangiMahera katolewa pori gani? Ni jamaa hovyooo kabisa.
Dawa yake ni kumfungulia kesi ICC mapema iwezekanavyoAjiuzuru familia yake ife njaa?? Maana kwa akili zake sidhani Kama ataweza ajirika sehemu nyingine tofauti na humo siasani wanamo kula bure kwa kumsifu tu 'malaika'
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mahera siyo DR halisi atakuwa aliiba mitihani akafaulu na kumiliki vyeti kienyeji kwa njia haramu za kishetani pasipo Taaluma halisi kichwani, uwezo wake wa kufikiri ni Mdogo kuliko hata Le mutuz kubwa jinga na cyprian MusibaDr. Mahera piga kazi.
Mahera ashitakiwe ICC mapema iwezekanavyo maana asipodhibitiwa mapema atasababisha umwagaji damu mkubwaHawa watumishi waongezwe kwenye list ya watakiwao the Hague Kama watavuruga uchaguzi, gharama za kuhudumia wakimbizi wawapazo mabeberu ni kubwa Sana sababu ya watu wachache wasiotenda haki.