Tychob
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 3,646
- 4,611
Partinership kwetu ni mtihani mkubwa .Hii ni shida ya Afrika. Business partners wanakuangusha. Kuna mifano mingi sana hapa nimeisoma na ni partner amemuangusha partner au ndugu.
Wazungu wao kwa asilimia kubwa hawana ujinga huo. Makampuni yote makubwa duniani ilikuwa ni partnership. Bill gates na paul allen (microsoft), steve jobs na wozniacki (Apple), Mark zuckerberg na Saverin (Facebook), Larry Page na Sergey (Google), Jeff Bezos na wazazi wake (Amazon). Tanzania unakuta hata baba na mtoto wanaibiana kwa partnership hadi mambo yanaharibika. Ndugu ndio usiseme kama mimi niliyopitia. Na hii ni sababu kubww ya watu ku-feli sababu tunarudishana nyuma. Very sad. Na umoja ndio unaunda makampuni makubwa kama hayo niliyoyataja hapo. Manake Africa tutaendelea kuwa na kampuni ndogo na hata ikiwa kubwa, bado haijafilia potential ambayo ingefikia na umoja wa partnership.
Ngoja ninyamaze tuu asee
Sent using Jamii Forums mobile app