Lugumgya
JF-Expert Member
- Dec 10, 2019
- 629
- 1,997
Mwaka 2016 nilimpa rafiki yangu M.5 kwa ajili ya biashara ya mahindi. Yeye alikuwa na nafasi bila hela, mm nilikuwa na M.5 bila nafasi.
Kweli tukaanza biashara lengo likiwa tufikishe M.20 tuanzishe kiwanda cha sembe na dona, maana eneo nilikuwa nalo. Lakini fedha ilivyofika M 8.7 jamaa yangu hakupatikana tena hadi leo.
Nilibaki mweupe mpka siku moja naenda bank kutoa elfu 10 nikaambiwa haiwezi kutoka, nilikuw na akiba ya elfu 6,300. Nilikonda kila nguo ikawa kubwa kwangu.
Hadi leo sijawahi kunenepa tena.
Rafiki yangu I.M kama uko humu, nilishakusamehe lkn hukufanya vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli tukaanza biashara lengo likiwa tufikishe M.20 tuanzishe kiwanda cha sembe na dona, maana eneo nilikuwa nalo. Lakini fedha ilivyofika M 8.7 jamaa yangu hakupatikana tena hadi leo.
Nilibaki mweupe mpka siku moja naenda bank kutoa elfu 10 nikaambiwa haiwezi kutoka, nilikuw na akiba ya elfu 6,300. Nilikonda kila nguo ikawa kubwa kwangu.
Hadi leo sijawahi kunenepa tena.
Rafiki yangu I.M kama uko humu, nilishakusamehe lkn hukufanya vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app