Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,426
- 92,791
Nadhani watu mnajichanganya sana, mtoto wa kando ndio mtoto gani huyo? ebu nipe tafsiri, mimi sijao na nina mtoto mmoja ili jina la mtoto wa kando wewe unalitowa wapi?Tuseme kwa faith ya wale waaminio mtoto wa kando, ni waharamu itabaki kua hivyo katika slogany but nijuavyo mie Baba still atakua responsible ku'provide frm A-Z juu ya huyo mtoto wa kando ecxept urithi ndiyo hatorithi, na hapo ndiyo source ya uharamu ilipoanzia.
Yaani mtoto wa kando kupata mirathi ya Baba ni haramu lakini kumridhi mama yake sio haramu.
Na Baba kumlea mtoto wa kando si haramu na niwajibu wake.