Rais wa nini na ajaye wapi?rais ajaye
Rais wa nini na ajaye wapi?rais ajaye
Endelea kuwaza ni haki yako kikatiba.Hivo Lowasa angelimuoa Mzee wako baadae wakaachana ungelimuita vipi ,nawaza tu
Historia haina faida?Hao ndio ndugu watanzania,kuhoji vitu vya kijinga visivyo na faida yoyote hata baada ya majibu kupatikana..
True..hawawezi kuacha kumwita mstaafu sababu ccm wanajua mchango wake kwenye chama
JMT cheo cha JPMRais wa nini na ajaye wapi?
Kwahiyo sokoine anaitwa waziri mkuu aliyepata ajali ya gari na kufari morogoro yani ndio uwe utambulisho wake kila atakapotajwaSio sahihi kabisa yeye hakustaafu bali alijiuzuru kutokana na kashfa za kifisadi basi,kwa hiyo anatakiwa kuitwa wziri mkuu aliyejiuzuru kwa kashifa za kifisadi,sasa wale wenzangu mie kwa makusudi wanaogopa kusema hivyo,ili tusahau mawaa yake na tumuweka sawa na mawaziri wakuu wengine waliostaafu,retired na resigned ni maneno tofauti bana
Ni sahihi
Ameanza kuitwa waziri mkuu mstaafu alivyohamia CDM? Sitaki kukutukana lakini wewe niSio sahihi kabisa yeye hakustaafu bali alijiuzuru kutokana na kashfa za kifisadi basi,kwa hiyo anatakiwa kuitwa wziri mkuu aliyejiuzuru kwa kashifa za kifisadi,sasa wale wenzangu mie kwa makusudi wanaogopa kusema hivyo,ili tusahau mawaa yake na tumuweka sawa na mawaziri wakuu wengine waliostaafu,retired na resigned ni maneno tofauti bana
Milage haiwezi kusoma zero,kwani baada ya kuunda gari linajaribiwa kuendeshwa sio chini ya kilometer 10, kuna wakati yanaendeshwa kutoka viwandani hadi bandarini kabla kupakiwa melini na kutoka bandarini hadi kwenye warehouse au showrooms.huyu bwàna wakati ule anazunguka kuungwa mkono ndani ya chama alikua na V8 brand new milage inasoma 0 km kama vipi mwite mchunga ng'ombe mwenye fweza zake
Hujajibu swali ma ....weweAmeanza kuitwa waziri mkuu mstaafu alivyohamia CDM? Sitaki kukutukana lakini wewe ni
Kwa kutuibiaHuyo si mstaafu kama wengine,
Ni Waziri mkuu aliyeshinikizwa kuachia madaraka kwa sababu ya kashfa.
Ukweli bila kubebana alistahili kufungwa tu.