Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 621
Aliyejiuzulu kuilinda serikali ya CCM isianguke, baada ya mkuu wa kaya kulazimisha dili.
Hili swali limekuwa likinitatiza siku nyingi, lakini nadhani sijui neno "kustaafu" maana yake ni nini. Hivi ni kweli pamoja na kashfa zote alizofanya na anazoendelea kufanya mpaka akalazimika kujiuzulu tunapashwa kumwita EL kwamba ni PM Mstaafu?
Nilidhani atafutiwe sifa nyingine, siyo hiyo. Je, tukimwita mstaafu, tutatumia sifa gani kwa Marehemu Baba wa Taifa, Mzee Mwinyi, Marehemu Kawawa, Warioba, Sumaye nk.
Naomba michango yenu ya mawazo ili hatimaye tupate sifa inayoendana na na ufisadi wake.
Nawakilisha.
Wasifu wake ni waziri mkuu aliyehiuzuru, siyo mstaafu.
Hili swali limekuwa likinitatiza siku nyingi, lakini nadhani sijui neno "kustaafu" maana yake ni nini. Hivi ni kweli pamoja na kashfa zote alizofanya na anazoendelea kufanya mpaka akalazimika kujiuzulu tunapashwa kumwita EL kwamba ni PM Mstaafu?
Nilidhani atafutiwe sifa nyingine, siyo hiyo. Je, tukimwita mstaafu, tutatumia sifa gani kwa Marehemu Baba wa Taifa, Mzee Mwinyi, Marehemu Kawawa, Warioba, Sumaye nk.
Naomba michango yenu ya mawazo ili hatimaye tupate sifa inayoendana na na ufisadi wake.
Nawakilisha.
rais ajayeNimekuwa nakutana na mijadala kuhusu jina sahihi linalomfaa Mh Lowassa.
Kuna wanaosema aitwe waziri mkuu mstaafu lkn inaonekana hajastaafu kwani alijiuzulu kwa lazima sawa kabisa na kufukuzwa.
Kuna wanaosema aitwe waziri mkuu wa zamani lkn wapo wanaohoji kuwa waziri mkuu wa zamani sio sahihi kwa sababu alionyeshi ni zamani kiasi gani.
Lipi jina linalomfaa?