Ni makosa.........Hi jamii forum members!
Sory jaman naomben mnisaidie utata huu nlionao ktk kichwa juu ya uhalali wa Edward lowasa kuitwa waziri mkuu mstaafu wa tz na km ni halali ni kwa vigezo vp?km sio ni kwa vigezo vp?pia katiba yetu ya nchi inasemaje juu ya hilo?
THANK YOU ALL IN ADVANCE!