Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
Tumeshuhudia wabunge wanoteuliwa na rais wakila viapo vya uwaziri na unaibu kabla ya viapo vya ubunge
swali langu ni kuwa je kwa sasa hawa mawaziri ambao ni wabunge wa kuteuliwa wanakidhi matakwa ya kisheria yanayotaka waziri kuwa mbunge?
swali langu ni kuwa je kwa sasa hawa mawaziri ambao ni wabunge wa kuteuliwa wanakidhi matakwa ya kisheria yanayotaka waziri kuwa mbunge?