sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 18,494
- 41,728
Wakuu salamu zenu!
Nimekasilishwa saana na huyu ndugu yangu ambae ni binamu yangu, ameamua kumpa jina mwanae ESCROW... tuligombana saana leo asubuh kwani kumpa jina hilo ni sawa na kumrithisha laana zote, kiumbe hiki kisicho na hatia majina ya ajabu.
Napenda kuwapa rai na wengine wenye mawazo kama haya ya kuwapa majina watoto ya ajabu ajabu... aghrrr
Wadada wenye tabia hizi acheni kuish kwa upepo
Nimekasilishwa saana na huyu ndugu yangu ambae ni binamu yangu, ameamua kumpa jina mwanae ESCROW... tuligombana saana leo asubuh kwani kumpa jina hilo ni sawa na kumrithisha laana zote, kiumbe hiki kisicho na hatia majina ya ajabu.
Napenda kuwapa rai na wengine wenye mawazo kama haya ya kuwapa majina watoto ya ajabu ajabu... aghrrr
Wadada wenye tabia hizi acheni kuish kwa upepo