Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,396
- 92,726
Ni afadhali ukae kimya bila kuchangia kitu hapa, maana hakuna adhabu yoyote kwa asiyechangia topic, kuliko kutumia makalio kufikiri na kuandika huu uharo wako. JK ni lini alikwenda Hijja?Kwani kuna ukakasi gani JK kuitwa al-hajj kama kweli ameshahiji!! au kuna ugiligili mwingine unawatukunya mbongo zilizokwisha kuwa sychronised na itikadi na mrengo wa kushoto kiasi cha kuwafanya wafikiri kwa kutumia viungo vingine tofauti na vichwa vyao!