Mr.Professional
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,582
- 258
Wamevunja privacy ya Dr. Slaa kwa makusudi kwa nia ya kumchafua na ndio maana hawakuitolea maelezo mengine ya kwamba inamilikiwa kisheria ama isivyo. Siku zao zinazidi kuhesabika japo sijajua kama kunasheria anayoweza kutumia dr. kudai haki yake ya kuondolewa privacy yake. Basi watuambia watu wote kuwa ukiwa kiongozi wa upinzani hauruhusiwi hata kumiliki siraha kihalali hapo tutawaelewa.