Huwa wanafikiria pole pole sana,huwa wanakawia kufahamu matokeo ya kauli/matendo yao(Delayed aftermath Thinking), they learns very slow.Yaani mtu aseme ukweli kuwa yuko bungeni kwa wizi wa kura, na wala bunge lisichukue hatua kwa kuwa na mbunge aliye ndani ya bunge kwa wizi! Hapo inahitaji elimu ya chuo kikuu kweli kujua ni siasa maji taka ndani ya bunge kigoyo? Ni sawa na mke wako kusema huyo mtoto unayemlea sio wakwako, na ww unakenua eti mke wako katoa ukweli na sio hisia, bila kufanyia kazi kauli yake!
???Naunga mkono hoja, wagombea uraisi wajitoe ,washawishiwe kwa hoja , bahasha wakigoma zuio la kisheria. JPM hana sababu kuomba kura.Atusaidie fair play ushindani wabunge na madiwani.
Membe ni potential formidable opposition dhidi ya Magufuli, in the short run though. Anao vigogo ndani ya CCM watakao muunga mkono japo kwa siri. Ndiye mgombea wa urais pekee anayeweza kupasua kampeini za CCM 2020 na hata kuongeza viti vya ubunge na udiwani kwa upinzani. Tatizo la upinzani wetu ni kutofanya siasa kisayansi.
Usikute na wewe umemaliza chuo kikuu?Hekima ya viongozi Wa vyama vya upon,ani, wafanye uzalendo waokoe gharama tunazopaswa kutumia ktk uchaguzi, wajikite katika ubunge na udiwani lakini kwa urais Magufuli ameshashinda hats kabla ya uchaguzi. Ili gharama za karatasi za kura za urais kulipia maendelero, mengine.
Wajifunze kwa maamuzi ya Mrema.
una kiherehere ungekuwepo mwanamke ungeshaliwa TigoRais Magufuli hapendi vya kunyonga kama Wapinzani.
Tunataka Uchaguzi ili tuwanyooshe walimbukeni wa siasa
Teuzi mpeni mama TanzaniaCCM keshapita bila kupingwa.
Vyama vingine vimwachie visiweke mgombea uraisi ili avikumbuke kwenye teuzi .Vikikomaa visahau teuzi za Raisi
Kumbe CCM teuzi ni ulaji!CCM keshapita bila kupingwa.
Vyama vingine vimwachie visiweke mgombea uraisi ili avikumbuke kwenye teuzi .Vikikomaa visahau teuzi za Raisi
Nikweli.. Kuliko kumchosha Magufuli kuzunguka nchi nzima kwa ajili ya kusalimia, naviomba CHADEMA, ACT na CUF wasisimamishe wagombea kwenye nafasi ya Urais na badala yake wajikite kuokoteza wabunge ili Magufuli apite bila kupingwa.