Ni Haki Kwa Necta Kudai 100,000/=ili Kutoa Statement of Results?

ibanezafrica

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,261
6,543
Tunaomba msaada kwako Waziri wa Elimu utusaidie kwa hili
Mtu umetumikia kusoma miaka kadhaa either O level ama High School baada ya kuhitimu let's say 2005 cheti/Certificate ikapotea au kuungua Moto.. Leo hii Unakwenda kuomba msaada Baraza wanasema sie hatuprint tena vyeti vya miaka Ya nyuma..! Ila ukitaka wanaweza kukupa form ujaze then ulipie Tsh 100.000/=halafu usubiri mwezi mzima ndipo wakutengenezee Statement of results!!
Hili linatuumiza sana sie watanzania wenye shida hiyo.. Nyie baraza ndiyo waratibu wa mitihani na ndiyo mnaohusika na kutunza kumbukumbu za watahiniwa wote nchini. Iweje inafika mahala mnashindwa ku re print tena cheti husika baada ya upotevu ? Licha ya mhanga kuhangaikia police loss report na tangazo gazetini? Hivi Hamuoni thamani na kuheshimu muda wa mtu aliyoutumia kutafuta elimu? Kumdai mtu kiasi cha shilingi laki moja ili mumpe matokeo yake hamuoni kua ni dhambi kubwa kwa mungu? Ni nani au sheria hii au kiwango hicho cha pesa kiliwekwa na Nani?
Kwako Waziri Wa Elimu tusaidie neno hili ufike pale Baraza uweze kuliweka sawa na watahiniwa wote hata wa miaka Ya nyuma waliopoteza vyeti wapewe vyeti vyao kwa amani ikiwa tu watakamilisha taratibu hizo za Police loss report na tangazo la gazeti na vitambulisho
Wizara ya Elimu tusaidieni kwa hili.
 
Tunaomba msaada kwako Waziri wa Elimu utusaidie kwa hili
Mtu umetumikia kusoma miaka kadhaa either O level ama High School baada ya kuhitimu let's say 2005 cheti/Certificate ikapotea au kuungua Moto.. Leo hii Unakwenda kuomba msaada Baraza wanasema sie hatuprint tena vyeti vya miaka Ya nyuma..! Ila ukitaka wanaweza kukupa form ujaze then ulipie Tsh 100.000/=halafu usubiri mwezi mzima ndipo wakutengenezee Statement of results!!
Hili linatuumiza sana sie watanzania wenye shida hiyo.. Nyie baraza ndiyo waratibu wa mitihani na ndiyo mnaohusika na kutunza kumbukumbu za watahiniwa wote nchini. Iweje inafika mahala mnashindwa ku re print tena cheti husika baada ya upotevu ? Licha ya mhanga kuhangaikia police loss report na tangazo gazetini? Hivi Hamuoni thamani na kuheshimu muda wa mtu aliyoutumia kutafuta elimu? Kumdai mtu kiasi cha shilingi laki moja ili mumpe matokeo yake hamuoni kua ni dhambi kubwa kwa mungu? Ni nani au sheria hii au kiwango hicho cha pesa kiliwekwa na Nani?
Kwako Waziri Wa Elimu tusaidie neno hili ufike pale Baraza uweze kuliweka sawa na watahiniwa wote hata wa miaka Ya nyuma waliopoteza vyeti wapewe vyeti vyao kwa amani ikiwa tu watakamilisha taratibu hizo za Police loss report na tangazo la gazeti na vitambulisho
Wizara ya Elimu tusaidieni kwa hili.
Kuna gharama za kufanya upelelezi kujua kama ulipoteza kweli au vipi.Issue hapo sio ku print tu.
 
Kwa shida niliyoipata kwa kupoteza cheti hata ingekua zaidi ya laki nitatoa tu.
 
Kuna gharama za kufanya upelelezi kujua kama ulipoteza kweli au vipi.Issue hapo sio ku print tu.
Wala si kazi ngumu kihivyo ni Just kukuita wewe mhusika mkuu na watafute details muhimu shule ulikosoma miaka hiyo wakutege maswali, pia wakuombe ushahidi wako... Yaani mtu wa mwisho wa kuthibitisha ni mhanga mwenyewe maaana ukizingatia Mtu hata police ulishapita
 
Vikiwa vinatengenezwa tena bure watu watakuwa wazembe kwenye kutunza.
Tatizo si uzembe kuna ajali mfano Moto, pia waweza kuibiwa tu... Hiyo Bank tu inaibiwa pesa na walinzi wanapigwa sembuse mtu kuibiwa Cheti?
 
Nani ana muda huo wa kuanza kutongozana?
Mswahili ukimpatia nafasi ya kujieleza utaishia kuongopewa tu.

Ningekuwa mimi naweka laki 5 kabisa ili kuongeza umakini.
Wala si kazi ngumu kihivyo ni Just kukuita wewe mhusika mkuu na watafute details muhimu shule ulikosoma miaka hiyo wakutege maswali, pia wakuombe ushahidi wako... Yaani mtu wa mwisho wa kuthibitisha ni mhanga mwenyewe maaana ukizingatia Mtu hata police ulishapita
 
Kiukweli NECTA mtaalaniwa kwa huu wizi. Utadhani mnauza vyeti vya msamaha wa dhambi?

Kila aliyepotelewa na cheti akitaka statement, lazima mumkamue pesa kibao hii si haki, ni uwizi.

Kwanini msiandae document moja ya kucertify matokeo ya victim huyu akawa nayo?
 
Nakumbuka nilivosoma kwa shida sana kwa kweli.... laki moja ni nyingi mno kwa mtu anaefikiria tu hata mambo ya chet cha secondary yani ni nyingi mnooo. ...
Poleni sana aisee. .. Nadhani Necta wataliangalia upya suala hili ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom