PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Endelea kuweweseka mchumia tumboachana na hilo dogo tu we hakikisha unajiandikisha wewe na watu wako tayari kwenda kuiadabisha hiyo sisiem ifikapo Oktoba!
Semeni semeni lkn dozi iko pale pale CCM OYEEEEEEEWatafurahi October, kila mtu ajiandikishe na apige kura
Maneno yako hayana tofauti na jina la profile yako, umeishiwa akili hata za nyongezaKinana ni mtuhumiwa kwa hiyo ana haki ya kutumia usafiri wa polisi kama mtuhumiwa yeyote.
Watafurahi October, kila mtu ajiandikishe na apige kura
mwaka huu ccm hatumpishi mtu ambaye hata kujenga hoja hawezi ,ccm makini itampitisha mtu ambaye hata wawakilishi wenu hawafurukuti kwenye majukwa ktk kujenga hoja, mtajibeba,subirini kama fisi anavyosubili mwishowe kunakucha.