Hizi za serikali wanalipia za sh ngapi sijuiKama hauko derious sana andaa ata $10 pale Godaddy unapata ya mwaka..Ila kama umedhamiria kama Max CEO wa JF andaa kma $500+ kwa uchache..
Ngumu kujua, JF wapo level nyengine kabisa, sio level za kulipia kiasi fulani kwa mwezi, site kubwa kama hizi unakuta zina dedicated hardware ama vps ambazo gharama zinabadilika mara kwa mara.
Unaweza kuta Dedicated hardware ipo mahala fulani ikiwa na hitilafu tu ukirequest support inakugharimu laki kadhaa kwa saa.
Kwamba hapa tanpol wangewazingua?!Physical server kws bongo hii alaf kwa site kama JF mbona unataka matatizo makubwa sana hawa watakuwa na VPS za USA huko.
Nisaidie kuwaita mkuu kabla hawajaanza kula tunda kimasiharaEbu waje wahucka.