nautaka tena
Senior Member
- Jun 29, 2021
- 182
- 213
Siwapendi wabunge wa CCM kwakua mi waoga wa maisha badala ya kupigania haki za wananchi wao Wana side na serikali utadhani wameajiriwa na serikali akati kimsingi ilitakiwa serikali ihemee mipira kwa hoja na vitu vyenye msingi
Mbuge mwenye hofu ya maisha na mshahara wake anitafute ni mpe mbinu ya kuingiza mshahara wake ndani ya 24 hrs kama hofu ni hela ambazo utaziacha tu Ila watu wengi wanateseka kwasababu ya wajinga wachache niseme nyie mbwa I hate u all nawaombea laana Kama hamto jipanga kutetea matakwa ya wananchi mkalie ujinga tuu
Mbuge mwenye hofu ya maisha na mshahara wake anitafute ni mpe mbinu ya kuingiza mshahara wake ndani ya 24 hrs kama hofu ni hela ambazo utaziacha tu Ila watu wengi wanateseka kwasababu ya wajinga wachache niseme nyie mbwa I hate u all nawaombea laana Kama hamto jipanga kutetea matakwa ya wananchi mkalie ujinga tuu