Wadau naomba kuuliza maswali mawili mwenye kujua anielekeze.
1. Wale wenye followers wengi Instagram hadi wanakuwa na tick ya blue hivi wanapata hela au inakuaje, yaanikiufupi wanapata faida gani na ile tick ya blue?
2. Wasanii wakiwa wametoa nyimbo wakiiweka kwenye YouTube wakipata views wengi nao vipi wanapata faida gani kiuchumi?
Kwa anayejua anielekeze.
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Wale wenye followers wengi Instagram hadi wanakuwa na tick ya blue hivi wanapata hela au inakuaje, yaanikiufupi wanapata faida gani na ile tick ya blue?
2. Wasanii wakiwa wametoa nyimbo wakiiweka kwenye YouTube wakipata views wengi nao vipi wanapata faida gani kiuchumi?
Kwa anayejua anielekeze.
Sent using Jamii Forums mobile app