Anthony Diallo alipata nini kwa kutumia Star Tv kupotosha jamii wakati wa Uchaguzi Mkuu 2015?

Hapo juu umeeleza vizr. Lakini hapo chini kwamba watu wa kanda ya ziwa star TV ni Kama ibada.huo ni uongo maana Hakuna bar yoyote inayo onyesha taarifa ya star. Hata kwangu nyumba ni ITV. Nyingine huwa kwa vipindi maarufu

Post sent using JamiiForums mobile app
Wewe ni mgeni hapo Mwanza ?
 
wahuni?? mbona waliouza nchi waliingia ikulu kina mwinyi mkapa na kikwete!!! maccm sio wahuni wakati tuna utajiri wa kila aina ila dhiki kila mahala mnanishangaza sana eti hamtaki muhuni!!!! hivi kipi ambacho ccm wamefanikiwa miaka 50 niambie hapa kma una ubavu huo hta kimoja tu niambie

mnakera sana eti nch isiende kwa wahuni wakati magufuli wenu huyo amekiri miaka 50 nchi ilikuwa imeoza na ilikaribua kuuzwa yote then ndio mnasema wahuni gani hao zaidi ya ccm???

hivi huu uchama unawafaidisha nni???
MAPOVU YA NINI BINTI AU UMEACHIKA? CCM NI CHAMA TAWALA HADI 2055 LABDA NDIO WABABAISHAJI NYIE MTAFANIKIWA KWENDA IKULU
 
MAPOVU YA NINI BINTI AU UMEACHIKA? CCM NI CHAMA TAWALA HADI 2055 LABDA NDIO WABABAISHAJI NYIE MTAFANIKIWA KWENDA IKULU
Shida yenu ndio hiyo mkikosa hoja mnaanza kejeli?? sasa hta kma ningekuwa binti au nmeachika kuna uhusiano gani na swali langu kuwa nipe mafanikio ya ccm kwa miaka 50 hata moja tu??? swali umeshindwa kujibu umekalia tu ooooh ccm chama tawala mpaka 2055!!! so what??? so chama tawala hta kama mtakula majani eti chama tawala???

IQ ndogo sana wwe embu pita pembeni huko nisije kukutukana nikamkosea Allah
 
Shida yenu ndio hiyo mkikosa hoja mnaanza kejeli?? sasa hta kma ningekuwa binti au nmeachika kuna uhusiano gani na swali langu kuwa nipe mafanikio ya ccm kwa miaka 50 hata moja tu??? swali umeshindwa kujibu umekalia tu ooooh ccm chama tawala mpaka 2055!!! so what??? so chama tawala hta kama mtakula majani eti chama tawala???

IQ ndogo sana wwe embu pita pembeni huko nisije kukutukana nikamkosea Allah
Sidhani kama atarudi tena .
 
Faida? Ameliokoa taifa hili kuingia majanga ya kutawaliwa na Fisadi Lowassa. Kwani unaona kapata hasara gani wewe?

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
...huu upumbavu uliondika akiuona mtakatifu wako anaweza kukutumia askari
..wewe na yeye nani Mwenye Akili Hivi unayohabari kwamba hiyo Mahakama ya mafisadi kuna buibui tu

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
 
Shida yenu ndio hiyo mkikosa hoja mnaanza kejeli?? sasa hta kma ningekuwa binti au nmeachika kuna uhusiano gani na swali langu kuwa nipe mafanikio ya ccm kwa miaka 50 hata moja tu??? swali umeshindwa kujibu umekalia tu ooooh ccm chama tawala mpaka 2055!!! so what??? so chama tawala hta kama mtakula majani eti chama tawala???

IQ ndogo sana wwe embu pita pembeni huko nisije kukutukana nikamkosea Allah
Kunge kuwa na wagombea wenye nia ya kweli ningehama CCM. Lakini mmmmm Jamani, hata Lowassa?
 
Kunge kuwa na wagombea wenye nia ya kweli ningehama CCM. Lakini mmmmm Jamani, hata Lowassa?
Yaani we jamaa akili zako sijui zikoje yaani unashangaa lowassa kuwa kiongozi unasahau alikuwa waziri mkuu wa lichama lenu ssa cjui nikueleweje??? Hapa ndio naamini siku magufuli akihamia chadema mtaanza muita dikteta!!!!

Anyway uzuri umeshakubali lichama lako limeoza ndio maana unatamani kuhama nashukuru kwa kulitambua hilo

Ucku mwema
 
Huyu jamaa ni mwanaccm kama walivyo matajiri wengi wa nchi hii , anamiliki kituo cha TV kama alivyo mwanaccm mwenzake Reginald Mengi .

Sasa cha kushangaza huyu aliamua kukiuka maadili ya utangazaji , kwa kuamua kuwanyima coverage wagombea wengine na kuwapromote wagombea wa ccm tu , na nina hakika kama tungekuwa kwenye nchi zenye kufuata sheria , vyombo vyake vya habari vingekuwa historia.

Nimebaki najiuliza hivi kwa mtu mzima kama huyu kuamua kupotosha umma kwamba ni ccm pekee inayoweza kuleta maendeleo kwa nchi hii , HUKU AKIJUA KWAMBA SIYO KWELI ( maana uko ushahidi wa wazi kwamba wameshindwa kwa karibu miaka 60 , hivyo hawataweza kwa miaka mitano ) , ALILENGA KUPATA NINI ?

Ikumbukwe kwamba kwa watu wa kanda ya ziwa kuangalia STARTV ni kama ibada , hivyo kuitumia kwa malengo ya kupotosha ni hatari sana !
TV,redio,au magazeti ktk chaguzi yanaweza kuchukua na ku declare side fulani wala sio dhambi.
 
Huyu jamaa ni mwanaccm kama walivyo matajiri wengi wa nchi hii , anamiliki kituo cha TV kama alivyo mwanaccm mwenzake Reginald Mengi .

Sasa cha kushangaza huyu aliamua kukiuka maadili ya utangazaji , kwa kuamua kuwanyima coverage wagombea wengine na kuwapromote wagombea wa ccm tu , na nina hakika kama tungekuwa kwenye nchi zenye kufuata sheria , vyombo vyake vya habari vingekuwa historia.

Nimebaki najiuliza hivi kwa mtu mzima kama huyu kuamua kupotosha umma kwamba ni ccm pekee inayoweza kuleta maendeleo kwa nchi hii , HUKU AKIJUA KWAMBA SIYO KWELI ( maana uko ushahidi wa wazi kwamba wameshindwa kwa karibu miaka 60 , hivyo hawataweza kwa miaka mitano ) , ALILENGA KUPATA NINI ?

Ikumbukwe kwamba kwa watu wa kanda ya ziwa kuangalia STARTV ni kama ibada , hivyo kuitumia kwa malengo ya kupotosha ni hatari sana !

Tujikumbushe. Wakati uchaguzi unakaribia, wakati wa kuomba kura za CCM, na hata kwenye mchakato wa katiba, magazeti karibu yote yalikuwa ni private. Kuna yake ya Kenya, yalikuwa kwa Serkali 3 kwa kusukuma ajenda ya Kenya katika ushindani wake na Tanzania wakijua njia pejee kuihujumu Tz ni kufuta Muungano au kugombanisha Bara na visiwani. Yalijya sera ya CCM kwa huyo yaluegemea Ukawa. Wakaja wale Maaskofu wa Ukawa wakataka nchi iitupe CCM, wakakwama kwa Askofu Pengo. Magazeti mengibe ya Kubenea na ya Mbowe yalikuwa Ukawa. Gazeti mengine ni ya Mtanzania na Raia na Raia Mwema haya ni ya EL alinunua kwa Rostam yalikuwa kwake alipokuwa CCM alipofukuzwa yakahqmia Ukawa pamoja naye. Daily News na Habari Leo ni ya serkali lakini tayari yalikuwa yanapigwa vita na magazeti mengi kwamba hayafai. Baki ya ITV na Nipashe na Guardian haya ni ya Kaskazini alikuwa jamaa akawa shrewed akataka kulipwa vinono, hakushabikia sana wakati huo lakini sympathy na neutrality vilikuwa Ukawa. Alipokatwa yakamfuata Chadema. Kwa hiyo wakati wa mchakato EL alikuwa 99% sapoti ya nagazeti na ikawa hivyo hadi mwisho. Fumbua na kufumbua ikaja Star TV, CCM ikapata kasi mpya nguvu mpya, hali ikabadilika 99%. Bado EL ana nguvu ya magazeti lakini hana livw TV, kwa sababu Mengi alishikilia msimamo wake wa kulipwa, si bure. Walilipa hela nyingi lakini hazikutosha, ukionfeza na ukubwa wa CCM na propaganda zilizotupa eti Fisadi Mkuu wa Mwembeyanga eti awe kiongozi wa mabadiliko!! Nchi hailuelewa. Walipomtoa Lipumba waislamu wakaja juu; walipomtoa Dr Slaa ndiyo wakajimaliza kwa vile Slaa tayari alikuwa kajijengea sifa kubwa. EL ghafula akakosa akilu, akakosa mdomo, Lowassa wa zamani mtoa hoja na mhamasishaji mkuu ajawa bubu; kumbe ni mgonjwa! Haya yote yasingetoka kwenye magazeti lakini kwenye TV yalikuwa kaa la moto kwake. Wakabaki kina Mbatiya na kadi ya unafiki na ysaluti (alipewa Ubunge na Kikwete) akaanza ukabila zaidi na ulutheri. Zikabaki sehemu za mjini zenye maduka mengi ya kabila la huko. EL was finished. Kwa hiyo Diallo kaokia CCM kaokia Taifa, kaokoa nchi yetu la sivyo leo tungekuwa na Waarabu kyle Zanzibar na ukabila mkubwa huku Bara. Pangechimbika. Mtu mwungine apate sifa ni Mengi na ITV zake kwa kubaki neutral, ila kwa kuwa alitaka alipwe kwanza aliheshimu misingi ya biashara. Lakini in the end kosa kubwa walilofanya Ukawa na kumtosa Dr Slaa na kutumbukia kwenye dhambi kubwa ya ukabila. Sioni dalilu za mtizamo huu kugeuka, labda safari hii Duni Haji agombee Urais na Tundulissu awe Makamo ; walau itakuwa badiliko kubwa kuachana na ukabila wawekwe Watanzania wa kawaida.
 
Mimi najibu swali moja kwa moja. Kapata kufungiwa biashara ya matangazo na kaamriwa kulipa madeni ya kodi anazodaiwa na tra.
Naona huyo mwenye jina la west Africa hakumsoma boss wake kipindi kile Mbowe anahamishwa kibabe kwani ile kauli ya watoeni wote mnaowadai bila kuangalia itikadi haikumkaa ubongoni! Amfuate chato akamuulize kama alimaanisha!
 
Yaani we jamaa akili zako sijui zikoje yaani unashangaa lowassa kuwa kiongozi unasahau alikuwa waziri mkuu wa lichama lenu ssa cjui nikueleweje??? Hapa ndio naamini siku magufuli akihamia chadema mtaanza muita dikteta!!!!

Anyway uzuri umeshakubali lichama lako limeoza ndio maana unatamani kuhama nashukuru kwa kulitambua hilo

Ucku mwema
Tangu alipofukuzwa na Bunge ndipo alikosa sifa za kugombea Uongozi kwa kukosa uadilifu. Ninyi kwa kuwa hamjali mambo ya UADILIFU baada ya kumfukuza Dr Slaa endeleeni kukaa naye.
 
Tangu alipofukuzwa na Bunge ndipo alikosa sifa za kugombea Uongozi kwa kukosa uadilifu. Ninyi kwa kuwa hamjali mambo ya UADILIFU baada ya kumfukuza Dr Slaa endeleeni kukaa naye.
Lini lowasa alifukuzwa na bunge??? Yaani hata facts za unayemuita fisadi huzijui haya bado tena unaendeleza ujinga wako eti slaa katimuliwa una barua inayoonyesha slaa kusimamishwa kazi???? Hivi unapata nini unavyoleta uongo hapa yaani hta historia ya siasa za Tanzania huzijui no wonder upo CCM maana kwa reasoning hii naelewa kwanni Tanzania ni kati ya nchi 30 maskini zaidi duniani

Shame on u maccm......
 
Tujikumbushe. Wakati uchaguzi unakaribia, wakati wa kuomba kura za CCM, na hata kwenye mchakato wa katiba, magazeti karibu yote yalikuwa ni private. Kuna yake ya Kenya, yalikuwa kwa Serkali 3 kwa kusukuma ajenda ya Kenya katika ushindani wake na Tanzania wakijua njia pejee kuihujumu Tz ni kufuta Muungano au kugombanisha Bara na visiwani. Yalijya sera ya CCM kwa huyo yaluegemea Ukawa. Wakaja wale Maaskofu wa Ukawa wakataka nchi iitupe CCM, wakakwama kwa Askofu Pengo. Magazeti mengibe ya Kubenea na ya Mbowe yalikuwa Ukawa. Gazeti mengine ni ya Mtanzania na Raia na Raia Mwema haya ni ya EL alinunua kwa Rostam yalikuwa kwake alipokuwa CCM alipofukuzwa yakahqmia Ukawa pamoja naye. Daily News na Habari Leo ni ya serkali lakini tayari yalikuwa yanapigwa vita na magazeti mengi kwamba hayafai. Baki ya ITV na Nipashe na Guardian haya ni ya Kaskazini alikuwa jamaa akawa shrewed akataka kulipwa vinono, hakushabikia sana wakati huo lakini sympathy na neutrality vilikuwa Ukawa. Alipokatwa yakamfuata Chadema. Kwa hiyo wakati wa mchakato EL alikuwa 99% sapoti ya nagazeti na ikawa hivyo hadi mwisho. Fumbua na kufumbua ikaja Star TV, CCM ikapata kasi mpya nguvu mpya, hali ikabadilika 99%. Bado EL ana nguvu ya magazeti lakini hana livw TV, kwa sababu Mengi alishikilia msimamo wake wa kulipwa, si bure. Walilipa hela nyingi lakini hazikutosha, ukionfeza na ukubwa wa CCM na propaganda zilizotupa eti Fisadi Mkuu wa Mwembeyanga eti awe kiongozi wa mabadiliko!! Nchi hailuelewa. Walipomtoa Lipumba waislamu wakaja juu; walipomtoa Dr Slaa ndiyo wakajimaliza kwa vile Slaa tayari alikuwa kajijengea sifa kubwa. EL ghafula akakosa akilu, akakosa mdomo, Lowassa wa zamani mtoa hoja na mhamasishaji mkuu ajawa bubu; kumbe ni mgonjwa! Haya yote yasingetoka kwenye magazeti lakini kwenye TV yalikuwa kaa la moto kwake. Wakabaki kina Mbatiya na kadi ya unafiki na ysaluti (alipewa Ubunge na Kikwete) akaanza ukabila zaidi na ulutheri. Zikabaki sehemu za mjini zenye maduka mengi ya kabila la huko. EL was finished. Kwa hiyo Diallo kaokia CCM kaokia Taifa, kaokoa nchi yetu la sivyo leo tungekuwa na Waarabu kyle Zanzibar na ukabila mkubwa huku Bara. Pangechimbika. Mtu mwungine apate sifa ni Mengi na ITV zake kwa kubaki neutral, ila kwa kuwa alitaka alipwe kwanza aliheshimu misingi ya biashara. Lakini in the end kosa kubwa walilofanya Ukawa na kumtosa Dr Slaa na kutumbukia kwenye dhambi kubwa ya ukabila. Sioni dalilu za mtizamo huu kugeuka, labda safari hii Duni Haji agombee Urais na Tundulissu awe Makamo ; walau itakuwa badiliko kubwa kuachana na ukabila wawekwe Watanzania wa kawaida.
Pamoja na uongo wako mrefu sana uliojaa mapovu mengi mithili ya mgonjwa wa kifafa , sasa rudi kwenye hoja , Dunia inaomba kujua FAIDA ALIZOPATA DIALLO KWA UONGO ULE WA KARNE ALIOUFANYA .
 
Ahadi aliyo ahidiwa moja wapo nikuifanya Sahara media kuwa ya kimataifa" hilo limetimia maana sasaivi wanaonyesha BBC kila saa3 kamili usiku ijuma3 mpaka ijumaa ila mchana hakuna kitu maana niwakimataifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom