Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,105
- Thread starter
- #141
Wewe ni mgeni hapo Mwanza ?Hapo juu umeeleza vizr. Lakini hapo chini kwamba watu wa kanda ya ziwa star TV ni Kama ibada.huo ni uongo maana Hakuna bar yoyote inayo onyesha taarifa ya star. Hata kwangu nyumba ni ITV. Nyingine huwa kwa vipindi maarufu
Post sent using JamiiForums mobile app