Mshambuliaji
Senior Member
- Jul 9, 2017
- 132
- 79
Malipo ni hapa hapa duniani Diallo amelipwa
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
is he still happy boss??? and which resources will he use while in a fortnight to come he will be declared bankrupt for the 4B due???
Mtafute diallo sasa hivi umuulize hilo swali.
Halafu ni haraka sana !Malipo ni hapa hapa duniani Diallo amelipwa
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Mwisho wa ubaya aibu.......Malipo ni hapa hapa duniani Diallo amelipwa
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Refer kauli ya Mkulu kuwa wale waliokuwa wanaishi kama malaika wataanza kuishi kama mashetani!Saint Ivuga
Nawe huamini kwamba wakati ni ukuta? Kwamba upo wakati wa kulia na wakati wa kucheka?
Refer kauli ya Mkulu kuwa wale waliokuwa wanaishi kama malaika wataanza kuishi kama mashetani!
Kwa akili yako ndogo uliamini Lowassa ataishinda CCM ? Kuna chama gani zaidi y'a CCM kinachofaa kuongoza Nchi. Nchi haiwezi kuwekwa rehani kwa kuwapa wahuni waingie Ikulu !! NEVER !!Huyu jamaa ni mwanaccm kama walivyo matajiri wengi wa nchi hii , anamiliki kituo cha TV kama alivyo mwanaccm mwenzake Reginald Mengi .
Sasa cha kushangaza huyu aliamua kukiuka maadili ya utangazaji , kwa kuamua kuwanyima coverage wagombea wengine na kuwapromote wagombea wa ccm tu , na nina hakika kama tungekuwa kwenye nchi zenye kufuata sheria , vyombo vyake vya habari vingekuwa historia.
Nimebaki najiuliza hivi kwa mtu mzima kama huyu kuamua kupotosha umma kwamba ni ccm pekee inayoweza kuleta maendeleo kwa nchi hii , HUKU AKIJUA KWAMBA SIYO KWELI ( maana uko ushahidi wa wazi kwamba wameshindwa kwa karibu miaka 60 , hivyo hawataweza kwa miaka mitano ) , ALILENGA KUPATA NINI ?
Ikumbukwe kwamba kwa watu wa kanda ya ziwa kuangalia STARTV ni kama ibada , hivyo kuitumia kwa malengo ya kupotosha ni hatari sana !
Kwani Magufuli alishinda ?Kwa akili yako ndogo uliamini Lowassa ataishinda CCM ? Kuna chama gani zaidi y'a CCM kinachofaa kuongoza Nchi. Nchi haiwezi kuwekwa rehani kwa kuwapa wahuni waingie Ikulu !! NEVER !!
True ! Nishani aliyopewa tumeiona mkuu .Kama kupotosha ndio kumkampenia magu dhidi ya fisadi basi dialo anastahili kupewa nishani maalum kabisa!
Sent from my HUAWEI G510-0200 using JamiiForums mobile app
Ni mwekezaji mtanzania ila si mzalendo.Huyu ni mtanzania na mwekezaji mzuri nitamsaidia na kumlinda
Akikujibu nishitueMtafute diallo sasa hivi umuulize hilo swali.
Mwendawazimu wewe. Kwani Rais ni nani ?Kwani Magufuli alishinda ?
Wewe unaweza kumuelimisha salary slip? Sijawahi kuona ziro brain kama wewe umuelimishe masters kama salary slipHujui unachoandika mkuu Salary Slip. Uliza uelimishwe maana kuuliza sio ujinga.