maswimanga
Senior Member
- Apr 15, 2013
- 159
- 26
Kweli watanzania wanatumia muda wao kujifunza siasa za tanzania na africa au kujadili watu na vyama vyao. Hebu tafakari siasa za cuf na walipo leo,siasa za laila na alipo leo,siasa za mpinzani wa mgabe na alipo leo,je tunafanya siasa au tunatafuta ajira kwenye siasa zetu?