MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,426
Gwiji la mitandao ya kijamii Ndg Lemutuz aliwahi kutoa nukuu moja muhimu sana akifanya mahojiano na kituo kimoja cha television,alisema "ukitaka kunibomoa lazima ukubali kunijenga kwanza" yaani huwezi kubomoa ukuta mahali pasipokuwa na kitu.
Upinzani inabidi ikubali kitu kimoja kama inaamini CCM inanunua wapinzani kwa kutumia kodi za wananchi ,either
1.Magufuli anakusanya mabilioni mengi sana ya ziada mpaka baada ya Kulipia miradi mikubwa inayoendelea anabakiza chenji ya kununua wapinzani.
2.Au serikali inakusanya hela kidogo kama Zitto anavyosema hata inakosa shilingi kumi ya kununua wapinzani siku ya mwisho wanajikuta wameingia CCM wenyewe.
Ebu tuambieni lipi ni lipi.
Upinzani inabidi ikubali kitu kimoja kama inaamini CCM inanunua wapinzani kwa kutumia kodi za wananchi ,either
1.Magufuli anakusanya mabilioni mengi sana ya ziada mpaka baada ya Kulipia miradi mikubwa inayoendelea anabakiza chenji ya kununua wapinzani.
2.Au serikali inakusanya hela kidogo kama Zitto anavyosema hata inakosa shilingi kumi ya kununua wapinzani siku ya mwisho wanajikuta wameingia CCM wenyewe.
Ebu tuambieni lipi ni lipi.