Bobwe2
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 2,463
- 2,339
We jamaa sijui wamekufanya nini chadema,yaani mpka kwenye ndoto unaitaja chademaHela yako tu .Wataka kugombea mnapigwa mnada na mangi anayeshinda anapewa kuwa mgombea.Hata chadema ni pesa yako tu wagombea mnaingiizwa kwenye mnada the highest bidder anapewa
Sent using Jamii Forums mobile app