Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,616
- 38,585
Baada ya mashabiki na wanachama wa yanga kulalamika kwa kipindi kirefu kuwa ligi yetu inavitendo visivyo vya kiungwana(michezo ya pesa) hatua sasa zimeanza kuchukuliwa...
Makuampuni makubwa ya betting yaliokuwa yanaweka game za tpl yameacha kuziweka rasmi....
Kwa wale wazee wa mikeka ni dhahiri mliona wkend hii 1xbet waliacha kuweka game za tpl.
Hii ni ishara mbaya sana kwa ligi yetu haiaminiki tena.
Mikia achaneni na mambo ya miamala chezeni mpira
Sent using Jamii Forums mobile app
Makuampuni makubwa ya betting yaliokuwa yanaweka game za tpl yameacha kuziweka rasmi....
Kwa wale wazee wa mikeka ni dhahiri mliona wkend hii 1xbet waliacha kuweka game za tpl.
Hii ni ishara mbaya sana kwa ligi yetu haiaminiki tena.
Mikia achaneni na mambo ya miamala chezeni mpira
Sent using Jamii Forums mobile app