Chura alishinda wapi?Week nzima wameshinda Sumbawanga kutafuta point tatu za Prisons. The teh teh!
Mjini DarChura alishinda wapi?
Kwenye mashamba ya miwaChura alishinda wapi?
kweli mkuu yaani hataki kuguswa anacheza kisuperstar mno yule kama mamluki fulani vileNionzima pale tumeramba galasa
Nyie tushikieni nafasi wanaume tunakuja. *****Wewe itabidi ukapimwe kinyesi.... Yani ninawashangaa sana nyie [HASHTAG]#Ndala[/HASHTAG]! Mukiona Simba inapata Mafanikio inawauma sana... Poa wacha iwe Hamna Kitu as long as tunakamata Points 3 kila Game.
Nyie tushikieni nafasi wanaume tunakuja. *****