ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Damu changa gani?mtu alisha staafu jeshini muda mrefu leo unamteua awe balozi wakati vijana kibao wamehitimu na vyeti hapo diplomasia wanalima matikiti...kwangu si sw
Sikuwa nimeelewa mpaka nililorudi juu kuangalia aliyeandika hii comment ndiyo nikaelewaYanarudi yale yale - please revisit your skewed comments hivi kisaikolojia zina dhilisha kitu gani kuhusu hulka yako?? Ni wazi una chuki binafsi na baadhi ya mabalozi ambao wako nje wakiwakilisha Taifa letu - mtu uwezi kuwa na maendeleo maishani mwako ukiwa driven na wivu na roho mbaya - nyie mna mamlaka gani yakumpangia Madam President afanye nini ahache nini? FYI you lot don't count at all - yaani kwa akili zenu za ajabu ajabu za kuto ona mbali hata umri aliyo ufikia Rais wetu nae mnamuona umri umekwenda hivyo hafahi!!!
Akili za kitoto kabisa - mara ooh kuna mabalozi wamekwisha jiona ni wazungu,mara ooh taasisi nyingi za Serikali zimejaa wazee wanapashwa kuondolewa na kuingizwa vijana as if unaweza kubadirisha badirisha uongozi Serikalini na Ubalozini like bolts in a machine!! Kama huna ajila tafuta kazi nyingine za kukuingizia kipato kuliko kushinda humu mkiwasema sema Watanzania wenzenu vibaya mpaka mnafikia hatuwa ya kuwataja majina!!! - Kumbuka mama Samia hawezi kusikiliza ngonjera zenu zilizo jaa uchonganishi.
First and foremost, kajifunze kiswahili sanifu, wapi inafaa R na wapi inafaa L, acha ujinga.
Mama yetu Samia kafanya best decision kutoa mabalozi wazee waliokaa huko nje miaka na miaka, ww kama imekuuma kanywe sumu, na bado fagia fagia itaendelea tu,
Mtu kama Masilingi yafaa apumzike, too old na has nothing new.
I repeat kajifunze lugha ya mama yako kiswahili vizuri, acha kuchanganya L mara R. Shithole
First and foremost, kajifunze kiswahili sanifu, wapi inafaa R na wapi inafaa L, acha ujinga.
Mama yetu Samia kafanya best decision kutoa mabalozi wazee waliokaa huko nje miaka na miaka, ww kama imekuuma kanywe sumu, na bado fagia fagia itaendelea tu,
Mtu kama Masilingi yafaa apumzike, too old na has nothing new.
I repeat kajifunze lugha ya mama yako kiswahili vizuri, acha kuchanganya L mara R. Shithole
Here we go again!! Tell you what Amigo? Your demonic traits of behaving like a drunken comet gonna cost you an arm and leg siku za usoni.
Sitachoka kukumbusha kwamba wewe ni binadamu mwenye envy by default - mfano: kati ya mabalozi wote why pick on "Masillingi" na kuanza kumsema sema vibaya - kwani amewahi kukwaza nini katika maisha yako? Punguza wivu ndugu yangu.
Kwanini asibaki CCMKwa akili za Dr Slaa anaweza kurudi Chadema!
Hoyce Temu kapangiwa wapi jamani?Kina Hoyce wametumika sana na kitengo acha nao wamalizie patamuuuu
khaaaaahHao jamaa ni Oil chafu, wameshachoka na wamezeeka, ndio mwisho wao umefika.
Hivi kale kachangudoa kalikoolewa na Dr.Slaa katakubali kweli kurejea tena Tz? Thubutu, huenda katasaka danga la kizungu ili kabakie huko huko. Dr. Slaa ajiandae kurejea mwenyewe Tz kuja kula mihogo ya kule Mbulu!
Zama zake zimekwisha.
Ubora wake ni upi na alishawishi nini?Wewe chawa wa ccm.
Hivi Migiro na Slaa hao ni wa kubeza?
Bila shaka Slaa ndiye balozi bora na mwenye ushawishi.
Pili Migiro ni mzoefu sana Kimataifa.
Labda Masilingi arudi home tu hana lolote.
Hoyce Temu naye ni level nyingine
Kwa akili za Dr Slaa anaweza kurudi Chadema!
Swala si umri na hakuna nchi inayoongozwa na vijana bila wazee .vijana Wana mihemuko hivyo ni lazima wazee wawepo kea ajili ya kuwaongoza vinginevyo nchi itakwenda arijojoUmri hauna uchonganishi!
UZEE AU UJANA UKO KWENYE MTAZAMO WA MTEUAJIWazee wanajulikana
Hao jamaa ni Oil chafu, wameshachoka na wamezeeka, ndio mwisho wao umefika.
Hivi kale kachangudoa kalikoolewa na Dr.Slaa katakubali kweli kurejea tena Tz? Thubutu, huenda katasaka danga la kizungu ili kabakie huko huko. Dr. Slaa ajiandae kurejea mwenyewe Tz kuja kula mihogo ya kule Mbulu!
Zama zake zimekwisha.
Vijana wenyewe hamnazoKwenye Siasa hakuna uzee!!