Ni dhahiri kocha Omog anapangiwa kikosi

py thon

JF-Expert Member
Sep 11, 2016
2,471
4,424
Nimemfuatilia Omog kwa muda na tangu kelele za mashabiki zipigwe sasa viongozi watabe wameingilia kati ,..Omog ni boshen tu pale kuna anayeshikilia remote


68a5313681e0b089e7ac4f55156b9081.jpg
 
Simba 1_prisons 0. Simba imepata pointi 3 na kufikisha pointi 22 ambazo zinaiweka kileleni mwa ligi hata kama wapinzani wao yanga watashinda kesho ama Hata Azam. Simba oyee, Omog Oyee
 
Yan hizi timu hazina viongozi. Mpira tunaujua ili msimamizi hamna. Si viongozi si wasemaji ni ovyo tu. Bora Yanga kidogo ila uongozi nao hmm.. Ila Simba hamna kitu
 
Yan hizi timu hazina viongozi. Mpira tunaujua ili msimamizi hamna. Si viongozi si wasemaji ni ovyo tu. Bora Yanga kidogo ila uongozi nao hmm.. Ila Simba hamna kitu


Wewe itabidi ukapimwe kinyesi.... Yani ninawashangaa sana nyie [HASHTAG]#Ndala[/HASHTAG]! Mukiona Simba inapata Mafanikio inawauma sana... Poa wacha iwe Hamna Kitu as long as tunakamata Points 3 kila Game.
 
Mwinyi jana kacheza vizuri tuu.Muhimu tumepata pointi 3.Boko noma sana.Wiki ijayo tunarudi Taifa kwenye uwanja mzuri
 
Back
Top Bottom