I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,727
- 10,023
Nchi nyingi sasa zinakadiriwa kuwa na wagonjwa wa corona huku wengi wao wakipona na wengine wakipoteza fahamu milele.
Hivi ni dawa gani zinawasaidia hawa wanaopona tuanze kujichanga kuweka store bado mapema.
Hivi ni dawa gani zinawasaidia hawa wanaopona tuanze kujichanga kuweka store bado mapema.