Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ww umo?We jamaa yaan umeomba msaada afu tumekupa njia sahiv unasema sis ni matapel!!
Nakuambia utajuta na usitutafute tena!!!!
Shwain!!!
Tapeli jingine hilomwaka huu maji mtaita mmaWe jamaa yaan umeomba msaada afu tumekupa njia sahiv unasema sis ni matapel!!
Nakuambia utajuta na usitutafute tena!!!!
Shwain!!!
wanalazimisha kuishi mjini kwa jasho la wanaume wengine so sad kwakweliSi wakalime tu jaman, kwani lazima tuishi mjini wote?
Kwa kuwa tumemtag akiwa online atakutana na notification atakutafuta tu ili mpeane ofisi, fedha bandia kwa chain fake mtakutana tujamaa puuzi sana hilo mwambie aje nimpe ofsi aachane ni utapeli
Mwenzie mahona kanitafta anasema hayo majina ni fake watajijua wao sisi huku tumeshamwanga maji na ugaliKwa kuwa tumemtag akiwa online atakutana na notification atakutafuta tu ili mpeane ofisi, fedha bandia kwa chain fake mtakutana tu
Huyo jamaa hata SMS ya Kiswahili tu hawezi kuandika vizuri.Na hii ndo Email ya kunitaka et nihudhurie usaili,ngeli yenyewe mbovu,et ndiye meneja sauti nzito kama vile amekula mkaa wa chunya.
View attachment 1941881
Pia kuna dada mmoja huwa wanamtumia.Kwenye hii episode yangu Mwawalo ka play part as manager at GDM na mwenzie Mahona as connector ahaaaaaa Hawa jamaa Ni virus
Afu bado hahajajua kama mchezo umeshitukiwa bado ananitafuta kwa simu kuniuliza nimefikia wapi kuhusu kujiongeza et hata 50,000 kwa kuwa napitishwa bila interview
Mods naona hawataki members kuwa na taharuki na kututaka tuendelee kuamini kuwa jukwaa liko salama.Nilianzisha uzi kuhusu huyu jamaa alivyotaka kunitapeli ila Mods wakaufuta,sijajua kwanini waliufuta.
Matapeli NYIE, Mimi mmeshawahi kuniambia kuwa mpo kwenye office za customer (border Tunduma)... Ety mniunganishie nafasi za uwakala😂😂😂huyu mwingine mna mwambia ety nyie ni maMANAGER wa kiwanda Cha kahawa....Guys are you serious??🐒🐒ACHENI UPUMBAVU TAFUTENI HELA KWA JASHO..We jamaa yaan umeomba msaada afu tumekupa njia sahiv unasema sis ni matapel!!
Nakuambia utajuta na usitutafute tena!!!!
Shwain!!!
Kama ni jamaa anajiita "Mhamasishaji" na anadai yuko Mbeya basi huyo ni tape
Kama ni jamaa anajiita "Mhamasishaji" na anadai yuko Mbeya basi huyo ni tapeli😂😂😂😂🐒🐒
Kama ni jamaa anajiita "Mhamasishaji" na anadai yuko Mbeya basi huyo ni tapeli.Saizi ile account yake ya Mara ya kwanza amedit jina KUWENI MAKIN VIJANA MAPAMBANO NI MAZITOKama ni jamaa anajiita "Mhamasishaji" na anadai yuko Mbeya basi huyo ni tapeli.
Hongera sana najua atabadilisha ID ila dawa yao ndio hiiTayari nimepata uhakika mkuu Goti la samaki kamtaja kuwa kuna jamaa anajiita Mahona ni tapeli wa kupindukia,sasa na Mimi nje ya jukwaa kwenye simu kajitambulisha kama Mahona lakini humu anajiita mhanilah ni hatari huyu mwamba lakini kanikosa,maana nimeliweka wazi kabla ya kupigwa
Lakini hapa alikuambia wasiliana nae kama unataka ku rescheduleNa hii ndo Email ya kunitaka et nihudhurie usaili,ngeli yenyewe mbovu,et ndiye meneja sauti nzito kama vile amekula mkaa wa chunya.
View attachment 1941881
Kuna mda hawa jamaa wanaukinga Sana niliwahi kumfungulia tapeli moja uzi humu wakaufutaNilianzisha uzi kuhusu huyu jamaa alivyotaka kunitapeli ila Mods wakaufuta,sijajua kwanini waliufuta.
Sijui kwann wanafanya ivo maana hawa matapeli wataharibu hili jukwaaKuna mda hawa jamaa wanaukinga Sana niliwahi kumfungulia tapeli moja uzi humu wakaufuta