Ni dalili gani au zipi za awali kabisa zinazoweza kumsaidia Baba kuweza kujua kuwa Binti yake ameshaanza kufanya Ngono?

Kwa akina Mama najua wao ni wepesi kwa kuwagundua mabinti zao ila hapa nataka kwa sisi wababa ( akina Baba ) kuwa utawezaje kugundua mapema kuwa binti yako mpendwa kabisa wanamume wameshaanza Kumnyiri / Kumngono / Kumtia kwa Kumuangalia tu?

Leo nami nikipewa maujanja naweza kuwa ni mwenye furaha kwani kuna vitu nimeanza kuvishtukia kwa mbali.
Mzulu waaanguu ukimchunguza sana nyoka ana miguu mingapi utagundua ana miguu mingi sana.Usijaribu kuangalia nyuki anatumia formular gani kutengeneza asali hata wanasayansi walishindwa kutengeneza artificial honey.
Ya kaizar mpe kaizari ya mungu mpe mungu.Mambo ya kumchunguza binti yako yanakuhusu nini muachie hiyo kazi mama yake atakupa taarifa akijisikia wewe jali mambo yako utajipa pressure sisizo na msingi
 
Mzulu waaanguu ukimchunguza sana nyoka ana miguu mingapi utagundua ana miguu mingi sana.Usijaribu kuangalia nyuki anatumia formular gani kutengeneza asali hata wanasayansi walishindwa kutengeneza artificial honey.
Ya kaizar mpe kaizari ya mungu mpe mungu.Mambo ya kumchunguza binti yako yanakuhusu nini muachie hiyo kazi mama yake atakupa taarifa akijisikia wewe jali mambo yako utajipa pressure sisizo na msingi
Umeandika utoto mtupu
 
Back
Top Bottom