NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,032
- 4,023
Mzulu waaanguu ukimchunguza sana nyoka ana miguu mingapi utagundua ana miguu mingi sana.Usijaribu kuangalia nyuki anatumia formular gani kutengeneza asali hata wanasayansi walishindwa kutengeneza artificial honey.Kwa akina Mama najua wao ni wepesi kwa kuwagundua mabinti zao ila hapa nataka kwa sisi wababa ( akina Baba ) kuwa utawezaje kugundua mapema kuwa binti yako mpendwa kabisa wanamume wameshaanza Kumnyiri / Kumngono / Kumtia kwa Kumuangalia tu?
Leo nami nikipewa maujanja naweza kuwa ni mwenye furaha kwani kuna vitu nimeanza kuvishtukia kwa mbali.
Ya kaizar mpe kaizari ya mungu mpe mungu.Mambo ya kumchunguza binti yako yanakuhusu nini muachie hiyo kazi mama yake atakupa taarifa akijisikia wewe jali mambo yako utajipa pressure sisizo na msingi