wazazi hupitia wakati mgumu sana binti akibalehe maana hichi kipindi hakiwaachi salama mabinti wengi coz genye zao hua juu sana...
dalili za binti aloanza kuliwa:
1.ukimuona kawa jasiri na kujiamin sana ujue tayar
2.kiburi, hapa hata umwambie nini hajali, huu ndo wakat ambao mzaz hufoka sana bt matokea ni zero
3.ukimuona na vitu vipya ambavyo hujamnunulia
4.atapenda kujitenga sana, mda mwingi yupo pekee ndani bila hata sababu za msingi
kama una mke nakushauri mzungumze nae ili amdhibiti maana we baba itakua ngum
dalili za binti aloanza kuliwa:
1.ukimuona kawa jasiri na kujiamin sana ujue tayar
2.kiburi, hapa hata umwambie nini hajali, huu ndo wakat ambao mzaz hufoka sana bt matokea ni zero
3.ukimuona na vitu vipya ambavyo hujamnunulia
4.atapenda kujitenga sana, mda mwingi yupo pekee ndani bila hata sababu za msingi
kama una mke nakushauri mzungumze nae ili amdhibiti maana we baba itakua ngum