sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,434
- 5,088
Kuna watu wanaleta utetezi kua mitandao ambaayo haijabadilisha vifurishi ni kutokana na suala la programing, pia kwenye gazete wanasema inaeeza kuchukua siku zaidi ya nne, mpaka leo hii bado mitandao hiyo haijabadilisha vifurushi.
1. Je, ni kweli wataalamu wa serikali wanaamini kua system inachukua siku nne kubadilika? Huu ni uongo
2. Ni nani yuko nyumaa ya hiki? Serikali inafaidika na kuendelea kwa bei hii ambayo imeshasema zitolewe? Na kama haifaidiki ni kwamba hii mitandao ya simu imedharau agizo la serikali la kubadilisha bei na kudanganya kua mfumo unachelewa?
Kwanini viongozi wako kimya? Hata wabunge wetu hawasemi kitu?
Kuna mambo yana lazimisha sana kuondoa imani na serikali hasa pale unapoona viongozi hawajali hali za wananchi. Ndugulile asaidiwe
1. Je, ni kweli wataalamu wa serikali wanaamini kua system inachukua siku nne kubadilika? Huu ni uongo
2. Ni nani yuko nyumaa ya hiki? Serikali inafaidika na kuendelea kwa bei hii ambayo imeshasema zitolewe? Na kama haifaidiki ni kwamba hii mitandao ya simu imedharau agizo la serikali la kubadilisha bei na kudanganya kua mfumo unachelewa?
Kwanini viongozi wako kimya? Hata wabunge wetu hawasemi kitu?
Kuna mambo yana lazimisha sana kuondoa imani na serikali hasa pale unapoona viongozi hawajali hali za wananchi. Ndugulile asaidiwe