Umejaribu DIT wakakakutaa?Naombeni kuuliza kama kuna anaejua chuo kinachotoa Kozi ya ELECTRICAL INSTALLATION ngaz ya diploma kwa mtu alietoka VETA akiwa na VC3.
Kweli kusomea ualimu hapo itakuwa ngumu kidogo. Soko la ajira litakusimbua. Lakini pia nina moyo mgumu kujushauri usome engineering. Nna track record ya jamaa zangu wengi ambao wamesoma Veta na walipokuja kujiunga na DIT, Must, Arusha Tech shule iliwashindaSante kwa ushauri, lakn kwa maelzo yko ni waz unafaham kias na unaweza kua msaada katka hli, nkwamba nlifkir nikasome ualim wa ufund MVTTC lakn kna watu wakanambia ajira zake ni ngum ni bora ningeendelea na diploma, sorry unaweza kua na wazo lolote ni jinsi gan naweza endeleza taaluma yangu kwa namna flan?
hahaha pole aiseeMh kiongozi haya mambo ya engineering sio yakujipa moyo kwamba unaweza we jipime kwanza kabla yakujipa moyo
Saiv watu tunahemea mipira na vyuma vimekaza yani piston imeganda juu haipandi chini haishuki
Ada haizid mil. 1. Ila uwe umefauru maths form 4. Nabukienda kule am sure utakuwa bored tuu. Maana utajifunza communications skills, eng. Science. Electrical draghting. Hata iyo installation unayo ipenda huto iona tena. Utakuwa unasolve tu micalculation ya umeme tuu. **** balaa mzeeeOk, kingne labda km unafaham kwa MUST coz ndo nko karb nacho, semester zao znaanzia mda gan, na kutokan na uzoef wko kwa hao jamaa zko walopta hko, unawza kujua gharama zao kiujumla Japo kwa makdirio?
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app