VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Wakuu kati ya CUF; CCM, TLP, NCCR MAGEUZI na Chadema ni chama kipi chenye mawazo bora na yanayotekelezeka.....
Kwa CCM ni kipi bora walichotufanyia?,
Kwenye kupiga Kura je inafaa kuwe na BOX la wote hawafai?, kwa wale wasiopenda vyama vyote vilivyopo?
Je ni wakati wa muafaka kuwa na Mgombea Binafsi?
Tashukuru kwa majibu yenu
On second note.., is politics really necessary?
Kwa CCM ni kipi bora walichotufanyia?,
Kwenye kupiga Kura je inafaa kuwe na BOX la wote hawafai?, kwa wale wasiopenda vyama vyote vilivyopo?
Je ni wakati wa muafaka kuwa na Mgombea Binafsi?
Tashukuru kwa majibu yenu
On second note.., is politics really necessary?