Ni chama gani kilichotufikisha hapa tulipo?

VIVIANET

JF-Expert Member
Aug 30, 2015
2,129
2,914
ndugu watanzania naomba tujadili kwa pamoja swali hili ambalo lina maswali mangi

ni chama gani kilichoifikisha nchi yetu hapa

-ufukara wa kukithiri wakati imejaa kila aina ya maliasili
-upumbavu na ulofa + ujinga
-miundombinu mibovu
-rushwa kila taasisi ya serikali
-hospitali kukosa dawa na huduma bora
-elimu mbovu ya hali ya chini ufauli wa alama 30

je baada ya kukigundua kuna haja tena ya kukichagua?
Uwe mzalendo ktk majibu yako

​
 
Usiweke Chama mkuu maana maendeleo hayana chama ila uliza ni nini kimetupelekea kuwa hapa tulipo mpaka leo licha ya kuwa rasimali nyingi nchini…??

Jibu naanza na hili:- Rushwa, Ufisadi (Uhujumu wa uchumi)na matumizi mabaya vyeo…!!
 
ndugu watanzania naomba tujadili kwa pamoja swali hili ambalo lina maswali mangi

ni chama gani kilichoifikisha nchi yetu hapa

-ufukara wa kukithiri wakati imejaa kila aina ya maliasili
-upumbavu na ulofa + ujinga
-miundombinu mibovu
-rushwa kila taasisi ya serikali
-hospitali kukosa dawa na huduma bora
-elimu mbovu ya hali ya chini ufauli wa alama 30

je baada ya kukigundua kuna haja tena ya kukichagua?
Uwe mzalendo ktk majibu yako

​
Ccm aka maficcm aka chama cha mafisad aka chama cha mashog aka chama cha majamba..
 
to be honest the resources of our country cant match with the level of our development....take look to a small country like Rwanda how does it developed although it has a limited number of resources compare to tz..? the problem here in our country is all about the poor management of our resources of which has huge being contributed with the poor policies of the rolling party...just imagine a president of tz spent billions of money in his abroad tours of which these tours are worthless to our country.so far we as tnzns we need changes but bare in ur mind that this changes wont comes from the rolling party must be obtained outside the ccm
 
to be honest the resources of our country cant match with the level of our development....take look to a small country like Rwanda how does it developed although it has a limited number of resources compare to tz..? the problem here in our country is all about the poor management of our resources of which has huge being contributed with the poor policies of the rolling party...just imagine a president of tz spent billions of money in his abroad tours of which these tours are worthless to our country.so far we as tnzns we need changes but bare in ur mind that this changes wont comes from the rolling party must be obtained outside the ccm
 
Usiweke Chama mkuu maana maendeleo hayana chama ila uliza ni nini kimetupelekea kuwa hapa tulipo mpaka leo licha ya kuwa rasimali nyingi nchini…??

Jibu naanza na hili:- Rushwa, Ufisadi (Uhujumu wa uchumi)na matumizi mabaya vyeo…!!

Chini ya sheria ya uchaguzi ya tanzania mgombea udhaminiwa na chama acha umagufuli kukataa huli nguruwe but unakunywa mchuzi wake
 
ndugu watanzania naomba tujadili kwa pamoja swali hili ambalo lina maswali mangi

ni chama gani kilichoifikisha nchi yetu hapa

-ufukara wa kukithiri wakati imejaa kila aina ya maliasili
-upumbavu na ulofa + ujinga
-miundombinu mibovu
-rushwa kila taasisi ya serikali
-hospitali kukosa dawa na huduma bora
-elimu mbovu ya hali ya chini ufauli wa alama 30

je baada ya kukigundua kuna haja tena ya kukichagua?
Uwe mzalendo ktk majibu yako

​

Mkuu unauliza kinyesi cha ng'ombe machinjioni maana ni C C M
 
Usiweke Chama mkuu maana maendeleo hayana chama ila uliza ni nini kimetupelekea kuwa hapa tulipo mpaka leo licha ya kuwa rasimali nyingi nchini…??

Jibu naanza na hili:- Rushwa, Ufisadi (Uhujumu wa uchumi)na matumizi mabaya vyeo…!!

Kwa maana yako magufuri ni mgombea binafsi? Jitahidi kuushirikisha ubongo wako hata kwa 2%
 
Kwa hali ilivyo makomeo ni mgombea binafsi

Hawa watu wanajaribu kutuchezea sana iwapo magufuli akishinda serikali yake itaundwa na akina jan makamba,ngereja,rizwan,wassira nk ebu tuelimishane hapo mabadiliko yapo wapi zaidi ni kuwa nani hata akina sepetu,bongo flav wastahili kulipwa fadhila!nadhani hiyo ndio utakuwa utawala mbovu kuliko wowote uliopata kutokea katika historia ya dunia
 
Hawa watu wanajaribu kutuchezea sana iwapo magufuli akishinda serikali yake itaundwa na akina jan makamba,ngereja,rizwan,wassira nk ebu tuelimishane hapo mabadiliko yapo wapi zaidi ni kuwa nani hata akina sepetu,bongo flav wastahili kulipwa fadhila!nadhani hiyo ndio utakuwa utawala mbovu kuliko wowote uliopata kutokea katika historia ya dunia

Huo ndio ukweli wenyewe na tunachotakiwa kufanya ni kuwanyima kura kabisa hawa ma ccm
 
Hawa watu wanajaribu kutuchezea sana iwapo magufuli akishinda serikali yake itaundwa na akina jan makamba,ngereja,rizwan,wassira nk ebu tuelimishane hapo mabadiliko yapo wapi zaidi ni kuwa nani hata akina sepetu,bongo flav wastahili kulipwa fadhila!nadhani hiyo ndio utakuwa utawala mbovu kuliko wowote uliopata kutokea katika historia ya dunia

lapo elkann;
Umenena ndg yangu halafu wanatuambia atii kutakuja mabadiliko ndani ya hiyo kilabu!! Dawa ni kuwapiga chini tuuu. Tumeshawaambia kuwa hata wakiweka jiwe kupingana na ccm tutalichagua jiwe. TUMECHOKAAAAA
 
Ndg yangu huu uchaguzi ndio utakuwa dira ya mustakabali wa nchi yetu direction wanayotupeleka ccm sio salama kabisa mabadiliko ni lazima unless tutakuwa worst than kongo or burundi kuna kuna vijizi ambavyo ambavyo havikutegemea kama vinaweza kuwa karibu na system sasa vinaona vinakaribia kutimiza ndoto zao cause ccm sasa inazoa kila aina ya uchafu ili mradi tu utawasaidia kubakia madarakani but later who is going to is raia wa kawaida
 
Kwann ss tuwe maskini kwa sababu ya ccm aaa inaniuma waende tu bwana tz tuna ki2 gan ambacho hatuna kwanza Amani na vi2 vingine vya manufaaa waliombali wantamani Amani mpaka v2 vyetu sasa wa2 wanachukua Amani mpaka rasirimali jaman huyu baba alaaniwe kweli kabisa atafungwa jiwe shingoni mwake
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom