Ni chakula kipi unaweza kula mwaka mzima bila kubadili ukiwa peke yako?

Mimi nimvivu wakula, ila linapokuja swala la makande ya mahindi mabichi na maharage, naweza kula hata mwaka mzima.
 
Nauliza kile chenye nguvu, kuhusu matunda n.k inaruhusiwa kukamilisha mlo kamili.

Ila ni kipi waweza kula mwaka mzima.

Mimi wali na maharage asubuhi mpaka jioni, kiporo n.k mwaka mzima na sasa nimeshasahau radha ya vyakula vingine kama ugali.

Mh, nashangaa sana wanaokinaiwa na wali huwa Machangu mboga tu.
Asubuhi Supu chapati mbili,mchana mtindi na usiku wali + maharage kidogo mboga za majani ,samaki wakukaanga na ndizi mbivu moja.
 
RB (Rice + Beans) na ndizi pembeni
Nakazia na kapicha kdogo
images.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom