BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,792
- 287,994
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wali beans, the best food ever!!!wali maharage
Wali kipome
Wali kisamvu
Wali choroko
Wali parachichi
Kasoro tu, wali mwengu..kwa kweli wamenishinda tabia
Naongezea samaki wa kukaanga hapoUgali kebichi.
Chipsi kuku
Bada na hombo
Asubuhi Supu chapati mbili,mchana mtindi na usiku wali + maharage kidogo mboga za majani ,samaki wakukaanga na ndizi mbivu moja.Nauliza kile chenye nguvu, kuhusu matunda n.k inaruhusiwa kukamilisha mlo kamili.
Ila ni kipi waweza kula mwaka mzima.
Mimi wali na maharage asubuhi mpaka jioni, kiporo n.k mwaka mzima na sasa nimeshasahau radha ya vyakula vingine kama ugali.
Mh, nashangaa sana wanaokinaiwa na wali huwa Machangu mboga tu.
Ewaaaaa..!!RB (Rice + Beans) na ndizi pembeni
Daaah aseee umetisha hili ulikute asubuhi, au midaa ya saa 8 au 9 hivi na umalizie usiku saa 2 kuelekea saa 3