The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,886
Nakualika uje unipike siku moja tu...
Karibu kwangu karibu kila jumamosi nayapika.Nakualika uje unipike siku moja tu...
Karibu kwangu karibu kila jumamosi nayapika.
Ni kweli mkuu, niliwahi kwenda kikazi huko Nyeri kwenye hotel moja iitwayo Green Hills (nasikia ni ya Kibaki) nikakutana na hiyo kitu kwenye menu inaitwa Githeri special, ilikuwa safi Sanaa...Kenya makande yao yanaitwa Githeri wanaongeza vikorombwezo mfano viazi ulaya,mboga mboga etc iko vizuri sana
wewe kama mimi tu zamani ndizi kwa nyama au samaki tulikuwa tunaita mboga kwa mbogaKusema kweli ndizi nazipenda zilizoiva tu nakula kama tunda ila sio ndizi za kupika.
Ndizi za kupika nakula tu kuzuia kifo panapokua hakuna chakula kingine.
Katika chakula nisichokipenda zaidi Duniani ni ndizi za kupika.
Kusema kweli ndizi nazipenda zilizoiva tu nakula kama tunda ila sio ndizi za kupika.
Ndizi za kupika nakula tu kuzuia kifo panapokua hakuna chakula kingine.
Katika chakula nisichokipenda zaidi Duniani ni ndizi za kupika.
Ni matamu hasa yakiungwa vizuri na Nazi, lakini baada ya kula muone huruma unaelala nae kitandani.Makande akiii siyapendiii.
Hata mie kiukweli siyapendi hata yaungweje.Makande akiii siyapendiii.
Hupendi vitu vingi sana, unapenda vyakula gani?Makande.
Mboga za majani jamii ya kunde zote.
Ndizi za kupika maliza ufundi wako wote.
Ugali/wali maharage.
Ugali maziwa/mtindi.
mlenda.
Hivyo vyakula hapo juu HATA KAMA SIJALA MWAKA MZIMA SITOKULA.
Wakishua utawajua tuu sisi wa uswazi ndio our favorite dishSipendi UGALI MAHARAGE
Wakishua on fleckNachukia ugali maharagwe
Still ushua waendeleaSipendi ugali nyama
Sipendi ugali maharage
Sipendi makande
Sipendi yai la kisasa kuku wa kisasa nikila naskia kichefuchefu
List ya ushua inaendeleaI hate ugali.