Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 581
- 574
- Thread starter
- #81
Mkuu zile ni mali za CCM tangu TANU na ASP.TEHAMA ya CCM ni wizi na kudhulumu mali. Wameiba viwanja vyote vya michezo.
Mkuu zile ni mali za CCM tangu TANU na ASP.TEHAMA ya CCM ni wizi na kudhulumu mali. Wameiba viwanja vyote vya michezo.
Ule haukuwa uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Ila ww kwakuwa umemezeshwa upuuzi ili watoto wako waende choo, ndio unatapika huu ujinga hapa.Mkuu hili suala la uchaguzi wamekuwa wakijificha hapo na nyinyi wafuasi pia; sio kwa Tanzania tu bali Afrika kwa ujumla.
Andaeni ajenda msiwe wepesi wa kulaumu wakati kazi hamfanyi.
Nihukumu na kunipinga kwa hoja.Peleka utoto mbali we dogo.
Nasema hivi, katafute watoto wenzako mliopata division 0 form IV juzi uwaambie huu utoto.Nihukumu na kunipinga kwa hoja.
Hatuwezi tukajiunga Jamii Forums wote kwa mara moja na Muda utakao wewe.
Hisia zako hasi haziwezi kuishi kamwe.
Lissu na Sugu walikiri wazi siku ya kupiga kura kuwa mambo yapo shwari.Ule haukuwa uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Ila ww kwakuwa umemezeshwa upuuzi ili watoto wako waende choo, ndio unatapika huu ujinga hapa.
Mkuu ama kweli umeishiwa hoja.Nasema hivi, katafute watoto wenzako mliopata division 0 form IV juzi uwaambie huu utoto.
Ungeiwasilisha jamvini lingekuwa jambo jema sana kwetu sote.Mifano ipo ukitaka uione hapa ,utaipata tena ya kutosha.
Ni watumishi wa umma, wanateuliwa na Rais na siyo CCM. Ndiyo maana kuna mpinzani ni mkuu wa mikoa.Hauna akili wewe ama mgeni hapa Duniani. RC na DC hawafanyi kazi za CCM
Alitoa maoni yake kama kiongozi Mstaafu na mtanzania.Wacha ujinga wewe!!! Uchaguzi ungekuwa ni huru unadhani ni kwanini uchaguzi wa 2020 Mkapa alitaka usimamiwe na Tume huru! Wapuuzi kama wewe ni hasara kubwa sana Taifa.
View attachment 1859711
Mkuu mtu kuwasilisha hoja kinzani dhidi ya mtazamo wako sio kwamba anayodhiki.Nimekuuliza umeshapata cha mchana? Huijui kesho yako hapo ulipo mamako ndio anailisha familia nzima dingi hata haeleweki sijui unapata wapi nguvu ya kuandika utumbo huu! Tafuta kazi kwanza muda haukusubiri
Lissu na Sugu walikiri wazi siku ya kupiga kura kuwa mambo yapo shwari.
Leo unaleta kauli ya tofauti, hamuaminiki.
Alitoa maoni yake kama kiongozi Mstaafu na mtanzania.
Tume ya uchaguzi imekuwa ikifanyiwa mabadiliko ili kwenda na wakati.
Alitoa maoni yake kama kiongozi Mstaafu na mtanzania.
Tume ya uchaguzi imekuwa ikifanyiwa mabadiliko ili kwenda na wakati.
Hakuna kitu kisichoboreshwa. Utaratibu lazima ufuatwe.Acha ujinga wewe!!! Unadhani angesena hayo kama angeiona chaguzi ni huru na za haki!?
Hakuna kitu kisichoboreshwa. Utaratibu lazima ufuatwe.
Haya yamejitokeza baada ya kushindwa ila mngeshinda mngekuwa kimya kabisa.Ule ushenzi uliofanyika kwenye ule uchaguzi tumeuona kwa macho yetu, au unadhani unaongea na watoto wenzio wasiojua lolote? Huyo Lisu na sugu waliongea mambo mengi kuhusu ushenzi wa huo uchaguzi, au ulisikia hayo yaliyo kufurahisha tu?
Usitukane tu, fuatilia vizuri utaona Mkapa alitaja maeneo ya kuboresha.Tuondolee upumbavu wako.
Chizi ww haujitambui na haitokuja kutokea ukajitambua haipo.Mkuu taratibu. Kule ulisema zile taasisi zipo kutetea.
Hoja yako ilikuwa ni muflisi; ilani inaandaliwa na Chama kama CCM na inatekelezwa na Serikali kwa kipindi chote cha miaka 5.
Wewe ukasema wale ni CCM, wale ni watumishi wa umma.
Usitukane tu, fuatilia vizuri utaona Mkapa alitaja maeneo ya kuboresha.